Mrejesho wa kheri, nimempata wangu

Mrejesho wa kheri, nimempata wangu

Kuishi nanjilinji kubaya sana. Network ya simu mpaka upande juu ya mti.

Ona sasa nimetupwa nje ya kinyang"anyiro akhhh
 

Spirit always takes me very far beyond the earth's boundaries where no man's expectations can reach.
It's this spirit i have found in you harder to be defeated, harder to fade away.
When i focus on my future and my legacy on earth, i always see it in your heart and on your hands.
Or maybe if a story is to be told for centuries to come let it be you who forged the Hero.
I can see a lot in you, you complement my existence i can't deny that.


Slap my cheeks, bite me, spit on me , offend me, but never allow your spirit fade up on me.
I can't say I LOVE YOU because it's more than the words means.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Habari zenu wapendwa wa MMU,

Leo nimeona nijitokeze kwenu tena ila leo ni kwa ajili ya kuwaelezea furaha yangu na kuwapa moyo wale ambao bado wanaendelea kutafuta wenza na bado hawajawapata nawaambia watawapata wakati utakapofika.

Mimi nashukuru Mungu nimeshampata wa kwangu hapa hapa MMU maisha yanaendelea sasa ahsanteni sana wanajukwaa tuendelee kushirikiana tupeane moyo na kushauriana zaidi na zaidi.

Ahsanteni
Hongera,cha muhimu tabia njema ndio silaha ya ndoa yako,kinyume cha hapo itakula kwako,maana mwanzoni huwa mna tabia ya kuficha makucha na kujifanya watulivu sana...
 
yaan inakuwaje mwanamke,wanaume hawakuon huko mtaani mpaka ukaamua kuja kuhangaika kutangaza soko mpaka jf(ambao ndo hao hao watu wa mtaani) ili upate mtu?
 
yaan inakuwaje mwanamke,wanaume hawakuon huko mtaani mpaka ukaamua kuja kuhangaika kutangaza soko mpaka jf(ambao ndo hao hao watu wa mtaani) ili upate mtu?
Ni wapi umeona niliweka tangazo la kutafuta mume? Au unawashwa? Wewe vipi umekariri?
 
Back
Top Bottom