Mrejesho wa kheri, nimempata wangu

Kuishi nanjilinji kubaya sana. Network ya simu mpaka upande juu ya mti.

Ona sasa nimetupwa nje ya kinyang"anyiro akhhh
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hongera,cha muhimu tabia njema ndio silaha ya ndoa yako,kinyume cha hapo itakula kwako,maana mwanzoni huwa mna tabia ya kuficha makucha na kujifanya watulivu sana...
 
yaan inakuwaje mwanamke,wanaume hawakuon huko mtaani mpaka ukaamua kuja kuhangaika kutangaza soko mpaka jf(ambao ndo hao hao watu wa mtaani) ili upate mtu?
 
yaan inakuwaje mwanamke,wanaume hawakuon huko mtaani mpaka ukaamua kuja kuhangaika kutangaza soko mpaka jf(ambao ndo hao hao watu wa mtaani) ili upate mtu?
Ni wapi umeona niliweka tangazo la kutafuta mume? Au unawashwa? Wewe vipi umekariri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…