Hebu lete uzi wa mimi kutafuta mume siku nyingine usiparamie kama vile umetoka toiyaan inakuwaje mwanamke,wanaume hawakuon huko mtaani mpaka ukaamua kuja kuhangaika kutangaza soko mpaka jf(ambao ndo hao hao watu wa mtaani) ili upate mtu?
Hebu lete uzi wa mimi kutafuta mume siku nyingine usiparamie kama vile umetoka toi
aliyechukua ww "mlupo" kazi anayo!Hebu lete uzi wa mimi kutafuta mume siku nyingine usiparamie kama vile umetoka toi
[emoji12] [emoji12] Ok Muonyeshe maufundi ili asije akasepa.....!Habari zenu wapendwa wa MMU,
Leo nimeona nijitokeze kwenu tena ila leo ni kwa ajili ya kuwaelezea furaha yangu na kuwapa moyo wale ambao bado wanaendelea kutafuta wenza na bado hawajawapata nawaambia watawapata wakati utakapofika.
Mimi nashukuru Mungu nimeshampata wa kwangu hapa hapa MMU maisha yanaendelea sasa ahsanteni sana wanajukwaa tuendelee kushirikiana tupeane moyo na kushauriana zaidi na zaidi.
Ahsanteni
Habari zenu wapendwa wa MMU,
Leo nimeona nijitokeze kwenu tena ila leo ni kwa ajili ya kuwaelezea furaha yangu na kuwapa moyo wale ambao bado wanaendelea kutafuta wenza na bado hawajawapata nawaambia watawapata wakati utakapofika.
Mimi nashukuru Mungu nimeshampata wa kwangu hapa hapa MMU maisha yanaendelea sasa ahsanteni sana wanajukwaa tuendelee kushirikiana tupeane moyo na kushauriana zaidi na zaidi.
Ahsanteni
Ndio
Ok ndio basi mkahalalishe muache uzinifuSana
mpe hongera zake bwana RAGNAR pia..wacha ubaguzihongera Spirit
hongereni sana..Mwenyezi Mungu awaongozeHabari zenu wapendwa wa MMU,
Leo nimeona nijitokeze kwenu tena ila leo ni kwa ajili ya kuwaelezea furaha yangu na kuwapa moyo wale ambao bado wanaendelea kutafuta wenza na bado hawajawapata nawaambia watawapata wakati utakapofika.
Mimi nashukuru Mungu nimeshampata wa kwangu hapa hapa MMU maisha yanaendelea sasa ahsanteni sana wanajukwaa tuendelee kushirikiana tupeane moyo na kushauriana zaidi na zaidi.
Ahsanteni