Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,400
- 2,010
Mostly kuanzia 5m unaweza ukaanza kupata gawio la mwez.. chini ya hapo wanakuwa faida yako wanairudisha kwenye mtaji wako iendelee kukuza mtaji.. ila kuanzia unaweza ukaanza hata na 10k kuwekezaIla hii mifuko inayotoa gawia inakuwa na kuanzia kikubwa sana..?