Lil bees
Senior Member
- May 17, 2022
- 143
- 158
Habari nadhani wadau na wapendwa mnakumbuka niliandika uz hapa wa kuulizia pesa za kujikimu.
Thread 'Hela za kujikimu kwa waajiriwa wapya ziko wapi 2022'
Dokezo - Hela za kujikimu kwa waajiriwa wapya ziko wapi 2022
Sasa pesa wamewapa waajiriwa 2022 ila upigaji ni mwingi saana hususani halimashauri za pembezoni hukoo. Yapo madai ya halimashauri kadhaa kukata au kuwapunja waajiriwa kiasi kama cha 200k(laki mbili kila mwajiriwa) imepigwa. Hivi nyie watu hamna hata huruma??? Hayo matumbo yenu haya shibi kilicho haki yenu. ? Huu ni wizi na ubazirifu kama mwingineo ule.
Acha nipitie wadau kadhaa waajiriwa katika halimashauri tofauti nitaleta viwango walivyopewa jamii yetu pendwa ipate kuona wizi wa baadhi ya watendaji katika hizi halimashauri.
Serikali yetu pendwa ya Mhe Rais Samia Suluhu mnaipaka matope kila siku kwa tamaa zenu
Halimashauri ya lindi, uvinza, songea Butiama, Moshi vijijni, Geita na wilaya zake, Kigoma na morogoro mnalipaje watu nusu kwanini mnawalipa waajiriwa tifauti na halimashauri zingine. Mnakata hela za waajiriwa kitu kama laki 150 au 200k huu tuite... ? Wenye mamlaka shughulikieni hili imekithiri na inafedhehesha na kutesa waajkriwa kila wakati wapeni watu hela zao.
Butiama, Morogoro, geita na wilaya zake, kigoma, moshi vijijn nk.
Acheni wizi wapeni watu hela zao zote.
Thread 'Hela za kujikimu kwa waajiriwa wapya ziko wapi 2022'
Dokezo - Hela za kujikimu kwa waajiriwa wapya ziko wapi 2022
Sasa pesa wamewapa waajiriwa 2022 ila upigaji ni mwingi saana hususani halimashauri za pembezoni hukoo. Yapo madai ya halimashauri kadhaa kukata au kuwapunja waajiriwa kiasi kama cha 200k(laki mbili kila mwajiriwa) imepigwa. Hivi nyie watu hamna hata huruma??? Hayo matumbo yenu haya shibi kilicho haki yenu. ? Huu ni wizi na ubazirifu kama mwingineo ule.
Acha nipitie wadau kadhaa waajiriwa katika halimashauri tofauti nitaleta viwango walivyopewa jamii yetu pendwa ipate kuona wizi wa baadhi ya watendaji katika hizi halimashauri.
Serikali yetu pendwa ya Mhe Rais Samia Suluhu mnaipaka matope kila siku kwa tamaa zenu
Halimashauri ya lindi, uvinza, songea Butiama, Moshi vijijni, Geita na wilaya zake, Kigoma na morogoro mnalipaje watu nusu kwanini mnawalipa waajiriwa tifauti na halimashauri zingine. Mnakata hela za waajiriwa kitu kama laki 150 au 200k huu tuite... ? Wenye mamlaka shughulikieni hili imekithiri na inafedhehesha na kutesa waajkriwa kila wakati wapeni watu hela zao.
Butiama, Morogoro, geita na wilaya zake, kigoma, moshi vijijn nk.
Acheni wizi wapeni watu hela zao zote.