Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamoto band, plus tangawiziChai hii sinywi
HahahahaYamo
Yamoto band, plus tangawizi
Mama wa kambo wengine noma sanaDuh aiseee
Asante mkuu. Kwa sasa kijana atakuwa na amani sana. Na yule mama huko alipo anajutia alichofanya.Hongera Sana ,hakika umemsaidia kijana
Umbea wetu uko wapi mkuu. Sisi haya mambo hatukutaka mtu yoyote including mumewe ajue. Ila yeye ndo alianza kumwambia mumewe Na mwisho aka find out kuwa mkewe ndio mbaya. Soma thread ya mwanzo mkuu utaelewa.We jamaa na mkeo wambea sana
Hata hayo meno 2 nina imani amemuachia alama ambayo haitofutika katika maisha yake yote 😂🤣Meno 2 nje..angengoa na jicho moja ndo amwachie njia mjalana mkubwa
Kwa kweli jamaa ulikuwa na hasira sana. Kwanza nashukuru hakufikia hatua ya kuua aisee.Sio vizuri kujichulia sheria mkononi na mara nyingi hasira huleta hasara
Noma mkuu.Daaah kumbe tunafamya mambo ya ajabu humu ......
Kumbe haya mambo yanaenda viral sana[emoji32][emoji32]
Na kapigwa kweli hadi kakimbia na kuacha nyumba mwenyewe 🤣🤣🤣Mwanamke wa namna hiyo ni haki yake kupigwa sambaloketo
Isingewezekana kumtwanga mke wa mtu hivi hivi. Ata kipigo alichopata kutoka kwa mumewe kinatosha kumfunza namna ya kuishi na mtoto wa kambo 🤣🤣🤣Dawa ya moto ni moto acha achezee kichapo. Hata mimi ningekua karibu ningemsaidia kumtwanga sawasawa mshen..z. i huyo
Mbona jamaa ameshachukua na RB kabisa. Mkewe akitia mguu nyumbani tu anampeleka polisi kwa kesi ya kumtesa mtoto na kutaka kumuua.Mbona huyo jirani yako ni mpumbavu sana? Haoni kwa hicho alichokifanya ataenda jela na kumwacha mtoto akihangaika? Watu wa Kinondoni hamna akili kabisa.
Kasome thread ya kwanza utaelewa kila kitu. Ukisoma hapa na kuniuliza maswali itakuwa ngumu kukujibu sababu haujasoma nilipoanzia ili uelewe vizuri.Kwa hiyo chanzo cha ugomvi ni mtoto wa kambo?
Au wewe kununua nguo?
Mama kampiga mtoto, na baba mtoto kampiga mama. Sasa tatizo liko wapi.Nilikushauri ukamripoti huyo mwanamke anonymously juu ya mtoto.
Na sasa ninashauri ukamripoti jamaa kwa kumpa kipigo mkewe. Of course do it anonymously.
Kama huwezi kufanya hivyo sitashangaa kwakua hata kwa mtoto ulishindwa.
Amekaa muda mrefu sana baada ya thread ya kwanza ili kutupanga kwa episode ya 2.Mbona naona kama imebadirika na kuwa story tu...yaani chai tuuu!
Mungu muumba aipokee dua yako na kukutimizia hitajio lako 🙏Imagine,unamtesa mtoto ambaye mama yake ni marehemu,ee Mungu nisaidie niweze kuwalea watoto wangu wakue mikononi mwangu
Wewe pia ni mpumbavu. Mtu kupigwa na kutolewa meno mawili unaona ni sawa? Una tofauti gani na hawa watekaji wanaoumiza watu?Mbona jamaa ameshachukua na RB kabisa. Mkewe akitia mguu nyumbani tu anampeleka polisi kwa kesi ya kumtesa mtoto na kutaka kumuua.
Yule mama kamfanyia mtoto mambo mengi ambayo tumeyajua baada ya baba yake kumhoji vizuri. So hapo naona ni mwanamke ndio mwenye hasara zaidi.