Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
OK mkuu, naleta thread mda siyo mrefu..Ndugu yangu tafadhali kama ukinisaidia na mimi tafadhali...naomba sana vinanitesa mno...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK mkuu, naleta thread mda siyo mrefu..Ndugu yangu tafadhali kama ukinisaidia na mimi tafadhali...naomba sana vinanitesa mno...
Nasubiri kwa kweli kwa hamu kubwa...usisahau kunitag...maana system inagoma kufungua profile yako...OK mkuu, naleta thread mda siyo mrefu..
May be niliifunga ingawa sina hakika na hiloNasubiri kwa kweli kwa hamu kubwa...usisahau kunitag...maana system inagoma kufungua profile yako...
Maji ya moto uli tumia kwa muda gani ?!Wakuu dawa ya vidonda vya tumbo ni maji ya moto tu Mimi nimepona kabisa
Acha kusoma upotoshaji mkuuMaji ya moto uli tumia kwa muda gani ?!
Muda wa kunywa hayo maji ya moto ni asubuhi,mchana na jioni au ?
Kiasi gani cha kunywa hayo maji, glass 1 au ?!
Una endeleaje kwa sasa mkuu ?!
Wakuu dawa ya vidonda vya tumbo ni maji ya moto tu Mimi nimepona kabisa
Acha kusoma upotoshaji mkuu
Madawa ya kienyeji hasa alovera yameondoka na figo za watu wengi sanaDawa zipo za kienyeji ila twendeni kwa tahadhari Kuna mtu namjua alikunywa hiyo mizizi Figo Moja ikashindwa kufanya kazi.
Dawa zipo za kienyeji ila twendeni kwa tahadhari Kuna mtu namjua alikunywa hiyo mizizi Figo Moja ikashindwa kufanya kazi.
Mimi sizijui ila namjua mtu aliyekua anatumia Figo Moja ikafeliTaja hizo tiba
. Bado mkuu, sijaileta... 🙂🙂, pole sana kwa janga la vidonda vya tumbo