Mrejesho wanajamvi kuhusu vidonda vya tumbo

Mrejesho wanajamvi kuhusu vidonda vya tumbo

Acha kupotosha vidonda vingine vinatokana na Backeria ambao hawawezi kutibika na hicho ulichoandika
Tafuta mizizi ya mti wa mpondeponde, ukaushe kisha usage uwe unga, kisha chukua mbegu za papai uzisage. Changanya huo mchanganyiko wote uwe unaweka kwenye maziwa ya mbuzi, kila siku kunywa nusu lita kwa kipindi cha miezi mitatu huku ukiweka asali ya nyuki wadogo vijiko viwili.
Usipopona niite umbwa nimekaa paleee.
 
Hadi Mimi ninavyo hivi ni balaa dawa yake kupunguza mawazo na kula kwa wakati au tumia relcer gel na Omeprazole miezi mitatu ikidunda tumia hiii charanga mbegu ya parachichi kisha Iki kauka ule unga changanya na kiini cha yai la kienyeji kisha Tumia mara tatu kwenye kijiko cha chakula
Sio kweli
 
Wakuu wakuuu, mimi zamani mtu alipokua ananiambia anaumwa vidonda nilikua nachukulia poa sana naona kama anadeka deka sasa bwanaaa mzigo ghafla bim vuuu mpaka pum*bu nililiona zito wallah vidonda vya tumbo ni balaaa kila anayeshauri dawa nishabugia hapa nimekaa kaa sielewi elewi
 
Dawa nyingine ambayo haina stress ni Asali ya nyuki wasiouma kila siku asubuhi na jioni.
 
Back
Top Bottom