Bila kusahau maharage na kachumbari,pilipiliEpuka pilau ,ngano sna ,maziwa fresh na mgando ,soda za pineapple ,nanasi na vitu vyenye uchachu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau maharage na kachumbari,pilipiliEpuka pilau ,ngano sna ,maziwa fresh na mgando ,soda za pineapple ,nanasi na vitu vyenye uchachu
Saws kakaTafuta mizizi ya mti wa mpondeponde, ukaushe kisha usage uwe unga, kisha chukua mbegu za papai uzisage. Changanya huo mchanganyiko wote uwe unaweka kwenye maziwa ya mbuzi, kila siku kunywa nusu lita kwa kipindi cha miezi mitatu huku ukiweka asali ya nyuki wadogo vijiko viwili.
Usipopona niite umbwa nimekaa paleee.
SawaKwanini kichwa cha habari ni mrejesho😡
Asante mkuuPole sana.
Je dawa niliyokuandikia jana usiku umeitumia au umepuuza kisha unaanzisha mada nyingine?Wanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi sababu Kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana
Nayo nitaifanyia kazi mkuuJe dawa niliyokuandikia jana usiku umeitumia au umepuuza kisha unaanzisha mada nyingine?
Mkuu ni vyema ungeweka hapa kuliko kuanza kuuza sio uungwana yaani pesa ndio ikufanye hivyo shame brohNaifahamu dawa ambayo inatibu kabisa Vidonda vya tumbo,yaani inabaki historia!
Mwenye uhitaji anicheki ili iandaliwe mapema!
Dawa siitoi bure kwasababu kuitengeneza inachukua muda na materials pia kuzipata ni Changamoto!
Tumbo kuuuma kwa juu kuchoma choma ukila vyakula vyenye asili ya nyanya na gesi tumbo kutuma sana 😭Wakuu kwa mwenye kujua naomba kuelezwa dalili za vidonda vya tumbo hua ni zipi?
Fanya nilivyo kuelekeza hapo usisikilize wanaokwambia utoe hela ni wahuni haoVinatesa sana aisee shuguli zote zinasimama maisha haya binadamu tunateseka sana
Huu ugonjwa ni mateso sanaTumbo kuuuma kwa juu kuchoma choma ukila vyakula vyenye asili ya nyanya na gesi tumbo kutuma sana 😭
Sawa kaka tatizo kwenye vyakula vya kula ndio nawaza aisee naomba uniorodheshee asubuhi mchana na jioniFanya nilivyo kuelekeza hapo usisikilize wanaokwambia utoe hela ni wahuni hao
Shilling ngapi.Naifahamu dawa ambayo inatibu kabisa Vidonda vya tumbo,yaani inabaki historia!
Mwenye uhitaji anicheki ili iandaliwe mapema!
Dawa siitoi bure kwasababu kuitengeneza inachukua muda na materials pia kuzipata ni Changamoto!
Asubuhi kula mikate au maandazi yasiyo na Amira nyingi mchana kula vyakula visivowekwa nyanya kula saa 7mchana usiku kula ubwabwa lakini uive vizuri pendelea sana kula matunda ya ndizi na parachichiSawa kaka tatizo kwenye vyakula vya kula ndio nawaza aisee naomba uniorodheshee asubuhi mchana na jioni
Pamoja nduguAsubuhi kula mikate au maandazi yasiyo na Amira nyingi mchana kula vyakula visivowekwa nyanya kula saa 7mchana usiku kula ubwabwa lakini uive vizuri pendelea sana kula matunda ya ndizi na parachichi
Mkuu niamini mimi,achana na matapeli wa mitandaoni,kama unataka TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO YA UHAKIKA wewe niambie!Bei
Shilling ngapi.
Isiwe kundi la wale Madoctor wenye kampuni🙏.
Maana tumepigwa vya kutosha
Sasa huu ni mrejesho au muendelezo?Wanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi sababu Kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana
Mkuu hawa Watanzania waliovurugwa ndiyo uwasaidie bure 😂!Mkuu ni vyema ungeweka hapa kuliko kuanza kuuza sio uungwana yaani pesa ndio ikufanye hivyo shame broh