Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kunywa uji w ngano!Wanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi sababu Kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana
Tumia pilipili kichwa, najua wengi watachukulia mzaha ushauri huu Ila huo ndio ukweliWanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi sababu Kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana
Sawa kakaVidonda vya tumbo huwa vinapona , sema vina tabia ya kurudi ukizingua kwenye kuzingatia ratiba ya chakula na usafi pia !!
Halafu naufanyaje nduguTengeneza unga wa mbegu za parachichi
Sorry kaka hivi azam embe au juice Ile ya tunda zinaruhusiwa maana Sasa hivi sigusi kinywaji chochote aiseeAsubuhi kula mikate au maandazi yasiyo na Amira nyingi mchana kula vyakula visivowekwa nyanya kula saa 7mchana usiku kula ubwabwa lakini uive vizuri pendelea sana kula matunda ya ndizi na parachichi
Chungwa ndio mbaya kwa sababu chungwa lina citric acid inazidisha shida.Sorry kaka hivi azam embe au juice Ile ya tunda zinaruhusiwa maana Sasa hivi sigusi kinywaji chochote aisee
Si bora mniue tu 😊Epuka pilau ,ngano sna ,maziwa fresh na mgando ,soda za pineapple ,nanasi na vitu vyenye uchachu
Dawa ya moto ni moto, kama haviko stage mbaya inafaa.Tumia pilipili kichwa, najua wengi watachukulia mzaha ushauri huu Ila huo ndio ukweli
Sema huu muandiko ni vile tu unaumwa vidonda vya tumbo. Lakini huu muandiko hauelewekiWanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi sababu Kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana
Tafuna karafuu kila siku kikamilifu utashangaa maajabu.Hadi Mimi ninavyo hivi ni balaa dawa yake kupunguza mawazo na kula kwa wakati au tumia relcer gel na Omeprazole miezi mitatu ikidunda tumia hiii charanga mbegu ya parachichi kisha Iki kauka ule unga changanya na kiini cha yai la kienyeji kisha Tumia mara tatu kwenye kijiko cha chakula
Hakuna shida mkuu ntakutafutaMkuu niamini mimi,achana na matapeli wa mitandaoni,kama unataka TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO YA UHAKIKA wewe niambie!
Mimi utanichangia elfu 10 tu ya kukusaidia kukupa maelekezo nini ufanye,najua utapona kabisa na utaleta hapa mrejesho!
Ukiona ni ngumu kuandaa,basi mimi nitakuandalia kwa Elfu 50!
Sawa mkuu nitashukuru sana huu ugonjwa unatesa san
Mkuu na mimi naitaji dawa aisee nateseka mnooMimi nitakupa dawa ya vidonda vya tumbo bure, baada ya kupona.. Ulete shukrani.. 🤗🤗🤗.
Sawa mkuu, ngoja naleta thread hapa. Ili jukwaa lifaidike kwa pamoja.. 🤝🤝.Mkuu
Mkuu na mimi naitaji dawa aisee nateseka mnoo
Limao nalo si asidi mkuu?Mimi natowa kinga ya vidonda vya tumbo ukitaka visikupate hakikisha mwili wako una Alkaline ya kutosha vidonda kwako ni historia, hata mgonjwa wa vidonda vya tumbo pia atumie formula hiyo.
Hakiki gas na acid havizi tumboni mwako.
Antioxidant nzuri ukishakula kunya glasi ya maji ya uvuguvu uliyokamulia limao hata glasi mbili.
Asubuhi kama huwa unakunywa chai jenga utamaduni wa ku kukamulia limao kipande kimoja, huwezi kusumbuliwa na vidonda.
Wenye access kama una ndugu duniani agizeni vidonge vya Acid controller huwezi kupata vidonda vya tumbo.
Mimi sasa hata pilau nakula bila shida, soda pepsi nakunywa, machungwa tu ndio nimeacha kabisa kwa sababu Citric acid siyo nzuri.
Tupo wengi broUsiwaze mkuu... Umesha pona tayari...
Ukiaza kutumia hii dawa.. Usitumie tena dawa za dukani..
0653063503PM yako, ipo locked mkuu .
Kwanza unatakiwa kujua hivyo vidonda vinasababishwa na na Nini Kama nivile vyabkuambukiza, unaweza kujitibu kwa antibiotics peke yake na sii vinginevyoWanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi sababu Kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana