Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,831
nasikia ili upate driving licence ni lazima uwe na TIN, nayo inakuaje piaNdugu kwa uelewa wangu kupitia huu mchakato nnaoendelea nao, kupata Leseni ya aina ya biashara yangu (Uwakala) hawahitaji kufahamu mtaji (hamna mahali kwenye form panapokutaka ujaze ukubwa wa mtaji wako).
Labda katika TIN, huko watasaidia wataalamu na wazoefu wengine hapa