Miminimama dada kumbe unapata tabu sana, nilikwambia ukosefu wa Chura tatizo kubwa hapa mjini unaona sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dia usiende mitandaoni, wengi walioko huko sidhani kama nia ni ndoa Bali sex, hata hao wa mbele hakuna kitu. Shoga yangu yeye ana mipesa alikuwa akilipia zile za bei kubwa, alivyonisimulia nilichoka.Tena wakijua umezaa na unahitaji mume wanataka kukufanya kama sex machine yaani mtu anakosa ustaarabu, anyway mimi kuwa na mtoto si kigezo cha kufunuliwa na wanaume ovyo, kama tutaendana poa ila kama naona hatupo poa hapana aisee na inahitaji mda sana mpaka kufikia huko.
Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Miminimama dada kumbe unapata tabu sana, nilikwambia ukosefu wa Chura tatizo kubwa hapa mjini unaona sasa
😜😜 Nisitiri basi.
Ndoa ni satara.
Hivi kumbe mnasanda kiasi hicho kutafuta wanaume wa kuwaoa... [emoji23][emoji23][emoji23]Dia usiende mitandaoni, wengi walioko huko sidhani kama nia ni ndoa Bali sex, hata hao wa mbele hakuna kitu. Shoga yangu yeye ana mipesa alikuwa akilipia zile za bei kubwa, alivyonisimulia nilichoka.
Labda ninge kuambia kitu, ila hapa macho mengi.
All in all polee
mimi labda tuishie kuwa dada na kaka. manzi bila ya chura hata ya kuombea maji dah hapana mimi siwezi.😂😂😂😂
Ulijaribu mtaani kwenu ikagoma?
Ukajaribu kule unaabudu ikabaunsi
Hapo jue iko shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitavaa kigodoro
Unajua ulichokiandika? Umeelewa ulichoandoka? Kabla hujapost upuuzi soma na uelewe, kwahiyo nikisikia kitu kukisema hapo ndo uhukumu? Acha upuuzi dogoHivi kumbe mnasanda kiasi hicho kutafuta wanaume wa kuwaoa... [emoji23][emoji23][emoji23]
Mchawi wenu tabia zenu badirikeni mbona wanaume tupo tele hapa[emoji847][emoji847][emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa comment hii natangaza kukudharauHuyu jamaa nimemshangaa sana, wenzake hiyo ni moja ya majukumu wakati wa tendo yeye anasema tunadhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Mzigua ndo maana amu anafurahia kuwadhalilisha wanaume na mifala inaksupportAhahah wewe mtoto wa kizigua visa kweli.
Uko huru kufanya unavyojisikia mkuu, kunidharau tu haitoshi, hem' tafuta neno lingine lenye nguvu zaidi.Kwa comment hii natangaza kukudharau