Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Miminimama dada kumbe unapata tabu sana, nilikwambia ukosefu wa Chura tatizo kubwa hapa mjini unaona sasa
 
Dia usiende mitandaoni, wengi walioko huko sidhani kama nia ni ndoa Bali sex, hata hao wa mbele hakuna kitu. Shoga yangu yeye ana mipesa alikuwa akilipia zile za bei kubwa, alivyonisimulia nilichoka.

Labda ninge kuambia kitu, ila hapa macho mengi.

All in all polee
 
Habari yako Mkuu Tafadhali naomba nicheck Whatsapp tuzungumze kidogo 0656378005
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Penye mitii hapana wajenzi kweli😎😎
 
Hivi kumbe mnasanda kiasi hicho kutafuta wanaume wa kuwaoa... [emoji23][emoji23][emoji23]

Mchawi wenu tabia zenu badirikeni mbona wanaume tupo tele hapa[emoji847][emoji847][emoji847]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kumbe mnasanda kiasi hicho kutafuta wanaume wa kuwaoa... [emoji23][emoji23][emoji23]

Mchawi wenu tabia zenu badirikeni mbona wanaume tupo tele hapa[emoji847][emoji847][emoji847]

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua ulichokiandika? Umeelewa ulichoandoka? Kabla hujapost upuuzi soma na uelewe, kwahiyo nikisikia kitu kukisema hapo ndo uhukumu? Acha upuuzi dogo
 
Huyu jamaa nimemshangaa sana, wenzake hiyo ni moja ya majukumu wakati wa tendo yeye anasema tunadhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa comment hii natangaza kukudharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…