PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
HahahaHivi kweli huko mtaani umekosa kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHivi kweli huko mtaani umekosa kabisa?
Siamini kama ndoa siku hizi zimekuwa ngumu hivi
HahahaKuwa single maza sio tatizo Kama kweli unahitaji mume unapata tu. Ni Bora mwanaume akuchague kuliko kuhangaika kumtafuta mtandaoni
Hata mm nimejiuliza. Haya mambo yawaweza kukupa ukichaa
Hajafikiria hili. Nafikir hawajui wanaume vizuri. Af anafikiri atakuja tuu aolewe kirahisi
ngoja nimuite jamaa mmoja , oyaaa BAHARIA WA 7800 MAGALLAH R unaitwa huku uliomba papuchi kabla hamjajuana vizuri njoo ujibu tuhuma.
Atakuwa anachagua sana
the time you will come to understand what coded Language minutes I suppose you will appreciate the akwardness of the subject
wa mtaani umekosa mkuu?Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana Magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Hivi ni kwel wanaume tumekuwa dili kiasi hiki?
Sasa huku mtaani? Hapa ni home of great thinkers wewe
Umefanikiwa kupata mchumba online? 6years now. Njoo tupe tena mrejesho
dah, ungenichana live PM kuliko kuja kulalamika hapa
Shangazi.
Kwanza shikamoo.
[emoji3][emoji3]Anaona umri unaenda tu na hakuna dalili.
Kinachoshangaza mtaani kote na ibadani kwenye shughuli zake eti kakosa. Hadi ahangaike mitandaoni.
Kuna shida mahala me naona.
AU HUNA MVUTO BIBIE??
feedback yako nzuri japo mimi nakupa mrejesho wangu kwamba nimefanikisha zaidi ya wanaume kumi kupata wake na wameoana,japo ni kazi kweli kweli,hiyo ni baada ya hao wanaume kuchagua miongoni mwa wanawake kama 80 hivi na kipindi cha miezi 9 hiviMnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana Magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Utaki kukandwa 🤣🤣Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana Magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
kila la kheri naona saivi mnatafuta wanaume! kazi kwelihuko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.