nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Naam ni kuhusu yule Bi.mkubwa ambaye wengi mlinitia moyo kwamba nimvagae....walahi najuuuuta sijui kwa nini nilimtamani.....Kama nilivyowaeleza awali huyu tupo nae Kanisa moja.....na kule Kanisani maneno yamesha sambaa nadhani hata baba Mchungaji stori itakuwa ishamfikia
Mambo si mambo kuna binti yake kwa sasa kila akiniona salamu yake ni ankoooo........nakuona ankooooo mpaka najiuliza mhhh...hii salamu hiii ni ya namna gani???mara umemuona Bi.mkubwa leo? daah...balaaa
Yani huyu bi mkubwa kumbe kila jambo kati yangu mimi na yeye anawasimulia watoto zake...yaani sina hamu pia ana rafiki yake anaimba kwaya kuu ni mama wa kichaga kila anionapo ananichangamkia kakaa kakaa nakuona kakaaa vipi leo hamjaonana?
Ayaaaa kumbe na huyu anajua? yaani muda si mrefu nitakuwa kama mfano kwenye mahubiri .Mungu saidia.....
Sasa kuna vijana wake wa kiume kuna biashara tunafanya nao...huu mwezi wa pili hakuna ripoti ya maana ninayopata.....halafu kauli zao zimebadilika hata salamu kwa sasa ni......oyaa kaka mkubwa shwariii.........najuuta....
ITAENDELEA..........
Mambo si mambo kuna binti yake kwa sasa kila akiniona salamu yake ni ankoooo........nakuona ankooooo mpaka najiuliza mhhh...hii salamu hiii ni ya namna gani???mara umemuona Bi.mkubwa leo? daah...balaaa
Yani huyu bi mkubwa kumbe kila jambo kati yangu mimi na yeye anawasimulia watoto zake...yaani sina hamu pia ana rafiki yake anaimba kwaya kuu ni mama wa kichaga kila anionapo ananichangamkia kakaa kakaa nakuona kakaaa vipi leo hamjaonana?
Ayaaaa kumbe na huyu anajua? yaani muda si mrefu nitakuwa kama mfano kwenye mahubiri .Mungu saidia.....
Sasa kuna vijana wake wa kiume kuna biashara tunafanya nao...huu mwezi wa pili hakuna ripoti ya maana ninayopata.....halafu kauli zao zimebadilika hata salamu kwa sasa ni......oyaa kaka mkubwa shwariii.........najuuta....
ITAENDELEA..........