Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChaiNaam ni kuhusu yule Bi.mkubwa ambaye wengi mlinitia moyo kwamba nimvagae....walahi najuuuuta sijui kwa nini nilimtamani.....Kama nilivyowaeleza awali huyu tupo nae Kanisa moja.....na kule Kanisani maneno yamesha sambaa nadhani hata baba Mchungaji stori itakuwa ishamfikia
Mambo si mambo kuna binti yake kwa sasa kila akiniona salamu yake ni ankoooo........nakuona ankooooo mpaka najiuliza mhhh...hii salamu hiii ni ya namna gani???mara umemuona Bi.mkubwa leo? daah...balaaa
Yani huyu bi mkubwa kumbe kila jambo kati yangu mimi na yeye anawasimulia watoto zake...yaani sina hamu pia ana rafiki yake anaimba kwaya kuu ni mama wa kichaga kila anionapo ananichangamkia kakaa kakaa nakuona kakaaa vipi leo hamjaonana?
Ayaaaa kumbe na huyu anajua? yaani muda si mrefu nitakuwa kama mfano kwenye mahubiri .Mungu saidia.....
Sasa kuna vijana wake wa kiume kuna biashara tunafanya nao...huu mwezi wa pili hakuna ripoti ya maana ninayopata.....halafu kauli zao zimebadilika hata salamu kwa sasa ni......oyaa kaka mkubwa shwariii.........najuuta....
ITAENDELEA..........
Waswahili husema #bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi#Kulikuwa na jambazi na muuaji...Bwana Yesu alimtamkia ...''Hakika leo hii utakuwa nami peponi"".......
Jana Kuna jamaa simfahamu kariakoo akaniita GENTLEMAN 😊 nikageuka akanisalimia..alikua kwenye bajaji.. nikasema huyu sio Tlaatlaah 😊☺️wengi wao huwa wana matatizo ya fedheha mathalani tatizo la nguvu za kijinsia n.k🐒
Vunja mifupa kama bado meno ikoNg'ombe hazeeki maini,mzee kula mifupa kama meno ikooo
Astaghafurahilazimu kutiwa?ndo mnoenda kutiwa
La msingi tuambie alikukubalia ukala mzigo au alikupa za mbavu ndiomana unakuwa katika hiyo hali?Naam ni kuhusu yule Bi.mkubwa ambaye wengi mlinitia moyo kwamba nimvagae....walahi najuuuuta sijui kwa nini nilimtamani.....Kama nilivyowaeleza awali huyu tupo nae Kanisa moja.....na kule Kanisani maneno yamesha sambaa nadhani hata baba Mchungaji stori itakuwa ishamfikia
Mambo si mambo kuna binti yake kwa sasa kila akiniona salamu yake ni ankoooo........nakuona ankooooo mpaka najiuliza mhhh...hii salamu hiii ni ya namna gani???mara umemuona Bi.mkubwa leo? daah...balaaa
Yani huyu bi mkubwa kumbe kila jambo kati yangu mimi na yeye anawasimulia watoto zake...yaani sina hamu pia ana rafiki yake anaimba kwaya kuu ni mama wa kichaga kila anionapo ananichangamkia kakaa kakaa nakuona kakaaa vipi leo hamjaonana?
Ayaaaa kumbe na huyu anajua? yaani muda si mrefu nitakuwa kama mfano kwenye mahubiri .Mungu saidia.....
Sasa kuna vijana wake wa kiume kuna biashara tunafanya nao...huu mwezi wa pili hakuna ripoti ya maana ninayopata.....halafu kauli zao zimebadilika hata salamu kwa sasa ni......oyaa kaka mkubwa shwariii.........najuuta....
ITAENDELEA..........
Mbaya zaidi sio watu wa mtaani bali kanisani tena kanisa la kiroho. Itakuwa aibu ya mwaka kama mkeo yupo alafu naye ni mzee wa kanisa😀😀Ongeza juhudi kuomba mzigo.
Maza Ameshakuelewa huyo.
Mpaka anatangazia watu.
Hamna shida.Mbaya zaidi sio watu wa mtaani bali kanisani tena kanisa la kiroho. Itakuwa aibu ya mwaka kama mkeo yupo alafu naye ni mzee wa kanisa😀😀
Mkewe akiwepo jamaa itabidi agomee kwendaaMbaya zaidi sio watu wa mtaani bali kanisani tena kanisa la kiroho. Itakuwa aibu ya mwaka kama mkeo yupo alafu naye ni mzee wa kanisa😀😀
Hakuna aibu yoyote,Gwajima kichupa chake cha X na alikupangua mbele ya waumuni elfu 5,sembuse huyu dingi Mzee wa kanisa tu.Mbaya zaidi sio watu wa mtaani bali kanisani tena kanisa la kiroho. Itakuwa aibu ya mwaka kama mkeo yupo alafu naye ni mzee wa kanisa😀😀
TawireHapa JF kila mtu anajifanya msaafi,Hana makandokando,binadamu wanafki kuliko wote utawapata hapa.