Mrejesho: Wazee wenzangu 60+ nimepata aibu ya kufunga mwaka

Huku ukiendekeza uzinzi hlf uwe high table! Fanaaa leki
Kulikuwa na jambazi na muuaji...Bwana Yesu alimtamkia ...''Hakika leo hii utakuwa nami peponi"".......
 
Chai
 
Ongeza juhudi kuomba mzigo.
Maza Ameshakuelewa huyo.
Mpaka anatangazia watu.
 
La msingi tuambie alikukubalia ukala mzigo au alikupa za mbavu ndiomana unakuwa katika hiyo hali?
 
Mbaya zaidi sio watu wa mtaani bali kanisani tena kanisa la kiroho. Itakuwa aibu ya mwaka kama mkeo yupo alafu naye ni mzee wa kanisa😀😀
Hamna shida.

Mbaya ni akirudisha majeshi nyuma.

Mama ameshaingia Laini, ni suala la kumalizia tu.
 
Ila wamama watamu jaman🤣🤣

Kwanza wasafiii K uma unanikukia waii

Tatizo ukimwi tu ukijichanganya umeisha
 
Swali, umeshakula ama bado? Kama tayari kaa nae mueleze kistaarabu nyie ni watu wazima, kama anataka muendelee iwe kimya kimya hutaki matangazo na kama hawezi muishie hapo ,,,, pia kama hujala fanya juu chini kula pita hivi ,,,,inaudhi sana kusingiziwa kitu ambacho hujafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…