Naju23
Member
- Jul 25, 2024
- 47
- 77
Kwanza mimi ni mzee wa 51.
Sioni dalili yoyote wanaoyopitia wenzangu wa 40s na 50s
Jambo moja tu ni hamu ya tendo imepotea japo kikiwaka minawaka kweli kweli mpaka mwanamke anaomba maji.
Wenzangu hali ikoje?
Magonjwa kama
Ni maradhi mabaya sana. Naendelea na mazoezi madogo madogo na nimebadili mtimdo wa chakula.
Napendelea mboga, matunda, nyama nimepumguza ugali na wali.
Sioni dalili yoyote wanaoyopitia wenzangu wa 40s na 50s
Jambo moja tu ni hamu ya tendo imepotea japo kikiwaka minawaka kweli kweli mpaka mwanamke anaomba maji.
Wenzangu hali ikoje?
Magonjwa kama
- Pressure
- Sukari
- Kuishiwa nguvu za kiume
- Kanza tezi dume
Ni maradhi mabaya sana. Naendelea na mazoezi madogo madogo na nimebadili mtimdo wa chakula.
Napendelea mboga, matunda, nyama nimepumguza ugali na wali.