Mrejesho: Wazee wenzangu wa 50+

Mrejesho: Wazee wenzangu wa 50+

Kwanza mimi ni mzee wa 51.
Sioni dalili yoyote wanaoyopitia wenzangu wa 40s na 50s

Jambo moja tu ni hamu ya tendo imepotea japo kikiwaka minawaka kweli kweli mpaka mwanamke a a omba maji.

Wenzangu hali ikoje

Magonjwa kama
Pressure
Sukari
Kuishiwa nguvu za kiume
Kanza tezi dume
Nk
Ni maradhi mabaya sana. Naendelea na mazoezi mango madogo na nimebadili mtimdo wa chakula. Napendelea mboga, matunda, nyama nimepumguza ugali na wali.
Ugali Dona ausembe,Dona ndio habari ya hiyo50+
 
Maika 50 ukitoka salama utajikuta 70

Ngono Kama hauwezi kuacha jaribu kupunguza
I agree with you 💯 mtu anataka kugawa dose kama panadol 🤣🤣🤣 hamnaga shughuli nyingine? Hapo kama una mke kashakusoma na anakuelewa labda kama unataka kuwaonyesha ufundi majirani. 50+ years you should be worried kama una health issues kama cancer, figo zinasumbua, utastaafu vipi list ni ndefu....
 
Hii nchi mnatuchanganya sana,mbona UVCCM wao wanasema uzee unaanzia 65+.sasa wewe na 51 yako ujajiitaje mzee?
 
Umri kama wako wazee nchini Israel wanafanya kazi kama mchwa. (Nimeona)
We unatafuta wa kumtupia lawama kuwa vijana hawalei wazazi😅😅😅
Tutafika tukiwa hoi taa bani😅😅
Natania
Huo ndio ukweli mkuu,huko Japan watu wa umri huo bado wanachapa kazi sana,ila huku africa mtu wa umri huo tayari anashinda chini ya miembe kalala kwenye mkeka na msuli wake eti anajiita mzee.
 
Tuko na umri huo ila tunapeleka moto vizuri tu. Acha bia hasa hizi light. Gonga konyagi aka sprits. Karafuu kwa wingi hasa kwenye maji yako ya kunywa.
 
Kwanza mimi ni mzee wa 51.
Sioni dalili yoyote wanaoyopitia wenzangu wa 40s na 50s

Jambo moja tu ni hamu ya tendo imepotea japo kikiwaka minawaka kweli kweli mpaka mwanamke anaomba maji.

Wenzangu hali ikoje?

Magonjwa kama
  • Pressure
  • Sukari
  • Kuishiwa nguvu za kiume
  • Kanza tezi dume
Nk

Ni maradhi mabaya sana. Naendelea na mazoezi madogo madogo na nimebadili mtimdo wa chakula.

Napendelea mboga, matunda, nyama nimepumguza ugali na wali.
Nipe Binti yako nimuoe basi baba mkwe, najua huwezi kukosa Binti wa miaka ishirini na kitu.
 
Halafu kwa Tz, Mzee ni miaka 60 na kuendelea.
 
hapo zile age process ndio zimeja. Nina full MaUric acid, Pressure imegoma kushuka nomal inaganda 154-160. Figo zishaanza kusumbua.
Ila najiona nipo fit.
HUduma za chumbani natoa kama kawaida.
Hiv dawa ya kutoa ma uric acid ni nini
 
Kwani wazee wengine wa 50's wanaona dalili zipi ambazo ww huoni??
Sisi wanawake tuna kipute kinaitwa menopose au nyie mna Erectopose nini?? 😊😊😊😊
 
50 yrs bado sana kuitwa mzee, watu wa mataifa ya wale watu wenye macho kama wanasinzia pande za asia umri huo ndio kwanza ameshika kasi.
Shida ni huku kwetu mtu uliyesoma naye shule ya msingi miaka ya.80 na 90 huko ukikutana naye huchelewi kutoa shikamoo ukifikiri na baba au mama ya jamaa yako uliyemaliza naye enzi hizo.
 
Back
Top Bottom