Mrejesho: Wazee wenzangu wa 60+

Mrejesho: Wazee wenzangu wa 60+

Hata Wahuni wanazeeka...usiamini kila Mzee ana busara.
Busara mbali UPWIRU mbali ,,,,,,,,,,,kila jambo na wakati wake...
kuna viungo vina kazi mbili mbili..mfano, MDOMO kuongea na kula
Halafu MTARIMBO kutoa haja ndogo na.................utamalizia mwenyewe
 
Hawa ndio wazee ambao wanategemewa na watu mbalimbali kutoa ushauri....
Kabisa
Shaka ondoa....... na ushauri wetu ni wa thamani kuliko dhahabu.....
Wengi wamefaidika
KARIBU
 
Sabah al kheir,

Naam, ni kuhusu yule mtu mzima mwenzangu ambaye nilimuomba ushauri. Wengi wenu mliniambia nijitose. Basi, nikampa maneno matamu ya kiutu uzima... lakini hakukubali wala hakukataa, akapiga kimya.

Zikapita siku kadhaa nikiwa naendelea kutafakari, huku nikiwa na hofu. Wasiwasi wangu ni kwamba hawa wanawake wanaongea sana, na zaidi ya hapo, vijana wake (wanawe) ambao tunafanya nao biashara na tunaheshimiana sana. Nikajiuliza, kama wakijua au akiwaambia itakuwaje?

Halafu huyu "bi mkubwa" ana shoga yake wa karibu, "Fedenge," ambaye ni kama msiri wake; yaani, wanawasiliana 24/7. Huyo shoga yake ananifahamu pia, kwani wote tunasali kanisa moja na tunaheshimika sana.

Sasa huyu "bi mkubwa" ni mjane, na kuna kila dalili kwamba ana upwilu)🙄 🙂🙄.......
ITAENDELEA... :ClapHD:
Piga miti wazee wenzako tunakuunga mkono
 
Mshauri kijana asipende kulelewa

Cc Grahams
Umewaza sahihi Mkuu

Miaka ya zamani Wanaume tulifundishwa kuhudumia Mke na Watoto tangu tukiwa jandoni

Siku hizi hii tabia ya kuwapeleka Vijana wetu wa Kiume hospitali wakiwa na miaka 4 ndiyo chanzo cha huu Umarioo miongoni mwa Vijana wetu wa kiume miaka hii
 
Sabah al kheir,

Naam, ni kuhusu yule mtu mzima mwenzangu ambaye nilimuomba ushauri. Wengi wenu mliniambia nijitose. Basi, nikampa maneno matamu ya kiutu uzima... lakini hakukubali wala hakukataa, akapiga kimya.

Zikapita siku kadhaa nikiwa naendelea kutafakari, huku nikiwa na hofu. Wasiwasi wangu ni kwamba hawa wanawake wanaongea sana, na zaidi ya hapo, vijana wake (wanawe) ambao tunafanya nao biashara na tunaheshimiana sana. Nikajiuliza, kama wakijua au akiwaambia itakuwaje?

Halafu huyu "bi mkubwa" ana shoga yake wa karibu, "Fedenge," ambaye ni kama msiri wake; yaani, wanawasiliana 24/7. Huyo shoga yake ananifahamu pia, kwani wote tunasali kanisa moja na tunaheshimika sana.

Sasa huyu "bi mkubwa" ni mjane, na kuna kila dalili kwamba ana upwilu)🙄 🙂🙄.......
ITAENDELEA... :ClapHD:
Mzee wangu naona unajikumbusha enzi zako angalia lakiini isije ikawa noma badae
 
Mzee wangu naona unajikumbusha enzi zako angalia lakiini isije ikawa noma badae
Shaka ondoa hakuna noma
nimekumbuka enzi navuta sigara ya nyota na kula chang'aa....ndipo ulipozaliwa msemo wa noma.
Kuna askari alikuwa anaitwa Silvanus Noma...alikuwa akituvizia wanywaji na tunampoza na tusenti...
Kwa hiyo kabla ya kutinga ubanda tuliwasha rada kucheki kama kuna NOMA.
 
Vijizee kama hivi ndivyo vimelifikisha taifa hapa lilipo..pathetic
 
Back
Top Bottom