Busara mbali UPWIRU mbali ,,,,,,,,,,,kila jambo na wakati wake...Hata Wahuni wanazeeka...usiamini kila Mzee ana busara.
Hakuna Mzee humu inatuchora.....Busara mbali UPWIRU mbali ,,,,,,,,,,,kila jambo na wakati wake...
kuna viungo vina kazi mbili mbili..mfano, MDOMO kuongea na kula
Halafu MTARIMBO kutoa haja ndogo na.................utamalizia mwenyewe
Piga miti wazee wenzako tunakuunga mkonoSabah al kheir,
Naam, ni kuhusu yule mtu mzima mwenzangu ambaye nilimuomba ushauri. Wengi wenu mliniambia nijitose. Basi, nikampa maneno matamu ya kiutu uzima... lakini hakukubali wala hakukataa, akapiga kimya.
Zikapita siku kadhaa nikiwa naendelea kutafakari, huku nikiwa na hofu. Wasiwasi wangu ni kwamba hawa wanawake wanaongea sana, na zaidi ya hapo, vijana wake (wanawe) ambao tunafanya nao biashara na tunaheshimiana sana. Nikajiuliza, kama wakijua au akiwaambia itakuwaje?
Halafu huyu "bi mkubwa" ana shoga yake wa karibu, "Fedenge," ambaye ni kama msiri wake; yaani, wanawasiliana 24/7. Huyo shoga yake ananifahamu pia, kwani wote tunasali kanisa moja na tunaheshimika sana.
Sasa huyu "bi mkubwa" ni mjane, na kuna kila dalili kwamba ana upwilu)π ππ.......
ITAENDELEA...
Kamwage maji mkuu.Wala usijali,,,,nime plani nimpige KATERERO..
Jimbo la hovyoπ€£π€£π€£
Umewaza sahihi Mkuu
Mzee wangu naona unajikumbusha enzi zako angalia lakiini isije ikawa noma badaeSabah al kheir,
Naam, ni kuhusu yule mtu mzima mwenzangu ambaye nilimuomba ushauri. Wengi wenu mliniambia nijitose. Basi, nikampa maneno matamu ya kiutu uzima... lakini hakukubali wala hakukataa, akapiga kimya.
Zikapita siku kadhaa nikiwa naendelea kutafakari, huku nikiwa na hofu. Wasiwasi wangu ni kwamba hawa wanawake wanaongea sana, na zaidi ya hapo, vijana wake (wanawe) ambao tunafanya nao biashara na tunaheshimiana sana. Nikajiuliza, kama wakijua au akiwaambia itakuwaje?
Halafu huyu "bi mkubwa" ana shoga yake wa karibu, "Fedenge," ambaye ni kama msiri wake; yaani, wanawasiliana 24/7. Huyo shoga yake ananifahamu pia, kwani wote tunasali kanisa moja na tunaheshimika sana.
Sasa huyu "bi mkubwa" ni mjane, na kuna kila dalili kwamba ana upwilu)π ππ.......
ITAENDELEA...
Weee kuweza lo???π¬π¬π¬π
Shaka ondoa hakuna nomaMzee wangu naona unajikumbusha enzi zako angalia lakiini isije ikawa noma badae