Mrejesho: Yule jamaa aliyenitafutia kazi, leo nimemchana

Kwahiyo Juzi ulijidai professor chuo kikuu ukawa unaona aibu kuwafundisha mademu, juzi yake ulipigana na konda kisa kakudhulumu miambili, leo umebaki na miatatu kidogo ulale njaa
Mwache ajipe raha na ufake fake asije kufa na msongo
 

We ni fala [emoji3][emoji3][emoji3]hukua na chochote afu unajiona mjanja kumchana!!

ulishauriwa kama ww mwanaume tafuta kazi yako umeshindwa hukua na haja ya kumchana hivo kifala….

Pesa kidogo tu unaleta maneno
 


"ila bahat nzuri baba mkwe ana mawe kidogo, nikamtwangia hewani akanrushia kama laki3"

Wewe na yeye wote ni watu washenzy, kama unaweza mkopa Baba mkwe, kuna shida gani yeye kukuomba maana wote ni wanachama wa camp ya Omba Omba msio maadili?

Swali:

Kama ulikua na 30,000 ukampa jamaa, ukabakiwa na 300, ina maana usingempa jamaa 30,000, ulikuwa na 33,000, zingekufikisha wapi? LEO ni tarehe 2 Feb, umepata mshahara juzi tu, unabakiwaje na 33,000 mpaka ufikie mkopa Baba Mkwe?

Kwa nini umkope Baba mkwe 300,000? Huna co workers, majirani wa umri wako, vijana wenzio? Vijana mmkekuwa na mambo ya hovyo sana siku hizi, sijui mmelelewa na nani?
 
Kwahiyo Juzi ulijidai professor chuo kikuu ukawa unaona aibu kuwafundisha mademu, juzi yake ulipigana na konda kisa kakudhulumu miambili, leo umebaki na miatatu kidogo ulale njaa
Jamaa ni muongo muongo fulani hivi.
 


Story za vijiweni
 
Umeeleza kuhusu laki tatu ya mkwe au smart gin mbili?
 
Kasuku on the mjengo sasa mkuu hapo shida ni nini labda? kumuazima mwenzio k30 we kubak na miatatu au? Kwan alikulazimisha utoe yote?
 
Huu uzi nahisi nimeingia choo cha walevi ngoja nipite kimya kimya
 
Nakumbuka ulisema wewe una PHD na unafundisha chuo, ni kweli au uliamua kuchangamsha jukwaa? Kama ni kweli huu ujumbe una kufaa:

punguani

/punguwani/

mtu aliyepungua akili

Ile nafika home najisachi nakuta kwenye pochi nmebakiza shingi 300 tu. Kidogo nlale njaa ila bahat nzuri baba mkwe ana mawe kidogo, nikamtwangia hewani akanrushia kama laki3 ila kwa masimango kinoma.
 
Safi hiyo ndio dawa ya wapuuzi wanaotaka kuwamiliki wengine kisa aliwahi kukusaidia wakati fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…