Mrejesho

Kuna wakati usiruhusu kutumia hisia mahala panapo hitaji akili NB. Maamuzi magumu humnufaisha anaye chukua hatua pekee..🦅 GirlTalk
 
Ukweli ni kwamba mkuu wewe ni FALA ama tahira! Demu alale kwako na asitoe mbunye?

Na kwanini utumie kondomu?
Kama hamjapima alikuja kufanyaje?

Hivi akiri zako zinafanya kazi kweli sawa sawa?

Wanaume hatuko hivyo mkuu wewe ni dhaifu na mlaini kuliko mrenda!!

Huyo manzi kashakusoma na kukuona dekio kabisa ukitoka anaenda kuliwa kama kawaida inasuguliwa Hadi hamu inakata.


Huoni hata aibu kureta mrejesho uliofeli mara2 Sasa.

Bahati kama hizi mbona sisi haziji timua hiyo mbwa hata kama unaipenda. Mwanamke hapaswi kujua unampenda ama humpendi yaani asikuelewe hapo ndo atakuwa na attention kwako.

Ukijioma wewe ndo muhitaji wafaaa

Ndio maana wanaume tunadharauliwa ni Kwa sababu ya wanaume kama wewe!!
 
Fanya km unamkaba mwambie utanipa haunipi uone hajasema nakupa nakupa niachie nikupe
Wala haina haja ya kulazimisha kupewa uchi ,nje kuna mamilioni ya wanawake Mwanaume anayefosi kupewa uchi ni dhaifu na hajitambui kwasababu mwanamke akiwa anakihitaji Uchi unapewa muda wowote unaohitaji na sometime akiona umsumbui lazima ahoji kwanini utaki uchi wake. Sasa mwanamke ashafikia hatua hiyo unalazimisha ni ubwege wa hali ya juu ndo maana nikasema Yeye ni tatizo kuliko huyo mwanamke.
 


Anatatizo, tafuta Mama mtu Mzima atunguke kwake, kamwe usilazimishe kulala naye bila ruhusa yake!
 
Yawezekana ana wadudu anakuonea huruma ila we unajilazimisha...key pwent ipo kweny hyo kutumia kinga na huku mnaish kinyumba kama mke na mme...shtuka mzee
 
Huyu mwanamke unaishi nae kihalali....?
Ukinijibu nitakupa ushauri....
 
Una zingua ujue nili kuuliza kule una hakika iyo kitu anayo ? Leo isipite hakikisha ume iona kwa macho yako 😂
 
ukitoa kiburi na kunyimwa uchi sijona tatizo lingine.

We unataka uone tatizo gani kubwa zaidi ya hayo? We huoni kama hayo ni matatizo makubwa?

Kijana, ogopa sana mwanamke anaetumia UCHI kama silaha ya kukuchapia! Nimekuambia tena, huyo mwanamke atakutesa sana kila atakapotaka chochote silaha yake itakua ni huo UCHI wake!

We endelea kumng'ang'ania, unachokitafuta utakipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…