minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
CCM huwaita wanaume wenzao mabeberu utazani wao CCM ni mbuzi jikena 60% ya bajeti yetu inategemea mabeberu-basi magufuli na serikali yake inatumika na mabeberu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM huwaita wanaume wenzao mabeberu utazani wao CCM ni mbuzi jikena 60% ya bajeti yetu inategemea mabeberu-basi magufuli na serikali yake inatumika na mabeberu
JF Salaam,
Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.
Mfuatilie kwa makini
JF Salaam,
Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.
Mfuatilie kwa makini
Umeliona beberu mkuu? Hapo lipo na nani?Lisu katumwa na mabeberu.
Zito anatumika na mabeberu.
JF Salaam,
Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.
Mfuatilie kwa makini
Hao tayari tumeshawanyoosha sema jingine.Umeliona beberu mkuu? Hapo lipo na nani?View attachment 1538169
Hizo propaganda mfu humu jukwaani zimeshapuuzwa!Kawadanganyeni mazwazwa wasio na elimu!Lisu katumwa na mabeberu.
Zito anatumika na mabeberu.
Mrema huna jipya jimbo limekushinda na chama kimekushinda wewe komaa na huo uparole wakati unalea wajukuuJF Salaam,
Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.
Mfuatilie kwa makini
Huyo anajulikana kama BABU JINGA.Rubbish.
Pepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
Pepo uliyewaroga Watanzania toka.
Hii kauli niliisikia 2000 nikiwa mdogo kuwa ukimchagua mpinzani akileta vita watakaohangaika ni wamama na watoto
Mbon yeye ana vyama viwili na hatusemi?JF Salaam,
Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.
Mfuatilie kwa makini