Uchaguzi 2020 Mrema (TLP), Mbatia (NCCR), Kimei (CCM) na Kiwelu (CHADEMA) wafanya kampeni za ubunge Vunjo (K'Njaro) kuwa zenye ushindani mkali kuwahi kutokea

Uchaguzi 2020 Mrema (TLP), Mbatia (NCCR), Kimei (CCM) na Kiwelu (CHADEMA) wafanya kampeni za ubunge Vunjo (K'Njaro) kuwa zenye ushindani mkali kuwahi kutokea

Ushindani upo kwa wagombea wawili wa CCM na CDM,
Mrema na Mbatia ni mamluki wamewekwa na CCM kimkakati ili kuzipunguza Kura za CDM
 
Kwa uelewa wako mbunge analeta maendeleo wakati inayo kusanya kodi ni serikali, unafahamu makusudi ya serikali kukusanya kodi?

Kazi za serikali yoyote ile ni kufanya administrative roles na development roles bila kujali inaongozwa na chama gani.
[emoji116][emoji116]
Jitu baya kuliko wote ni lile linaloongea bila kujua kazi ya madiwani na wabunge katika kuwasilisha mahitaji ya wananchi, kama wewe.

Unaitenganishaje CCM ya Nyerere na hii ya leo? Kwamba unataka tuone ni vitu viwili tofauti?

Huyu Meko unayetaka kutuaminisha ameshushwa leo sio yule aliyekuwepo kwenye baraza la mawaziri tangu kipindi cha Mkapa?[emoji116][emoji116]
Halafu hapa tunamuengelea John Pombe Magufuli na utendaji wa serikali yake, hatuongelei CCM tangu uhuru wala CHADEMA tangu 1992
Cc mkorinto
 
Kwa uelewa wako mbunge analeta maendeleo wakati inayo kusanya kodi ni serikali, unafahamu makusudi ya serikali kukusanya kodi?

Kazi za serikali yoyote ile ni kufanya administrative roles na development roles bila kujali inaongozwa na chama gani.
emoji116.png
emoji116.png



Unaitenganishaje ccm ya Nyerere na hii ya leo? Kwamba unataka tuone ni vitu viwili tofauti?

Huyu Meko unayetaka kutuaminisha ameshushwa leo sio yule aliyekuwepo kwenye baraza la mawaziri tangu kipindi cha Mkapa?
emoji116.png
emoji116.png
Acha kujichetua basi na kama hujui kazi ya madiwani na wabunge heri unyamaze au uulize
 
Okay yawezekana sijui, kazi ya mbunge ni ipi mama D?

Mbunge ni mtu anaye chaguliwa na wananchi ili kuwawakilisha bungeni badala ya wao wote kwenda bungeni.

Kwa uelewa wangu kazi ya mbunge ni kuwasilisha kero/matatizo/changamoto/mahitaji ya jimbo lake kupitia bunge.

Pia awapo bungeni, ana kazi ya kuishauri, kuikosoa, kuisimamia serikali na kutunga sheria. Kujadili na kutoa mapendekezo kwenye taarifa za mapato na matumizi. Awapo jimboni anashiriki vikao vya madiwani kama mjumbe kutunga sheria ndogo, kujadili mapato na matumizi ya jimbo.

Je kuna zingine tofauti nz hizi unazo zifahamu?
Acha kujichetua basi na kama hujui kazi ya madiwani na wabunge heri unyamaze au uulize
 
Kumbe ccm bado inapendwa Kilimanjaro ?
Sasa ilikuwaje awamu hii magu amekuwa na chuki sana kwa raia za kilimanjaro
Nadhani Magu mwaka huu hatafika kabisa kufanya kampeni K'Njaro, anachukia mno watu wa huko na sababu hasa hazijulikani.
 
Kama wabunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi hawawakilishi watu wao wala kudai maendeleo yao wanasubiri hadi kampeni zianze wakifika huko kuomba kura na kuambiwa hatuna shule au madarasa ndio wanaanza kudanganya kwamba shida ni serikali hii haikubaliki.
Ndio maana wanaambiwa wakirudia kuwachagua maendeleo hakuna
Mbatia ujumbe wako huu
 
Nadhani magu mwaka huu hatafika kabisa kufanya kampeni K'Njaro, anachukia mno watu wa huko na sababu hasa hazijulikani.
Itakuwa pisi za kichagga zilikuwa zinamgonga pesa ndefu basi akajenga chuki na kila mtu wa Kilimanjaro ndio akaona kwa kuwakomesha akamfanya second lady yule mpare
 
Okay yawezekana sijui, kazi ya mbunge ni ipi mama D?

Mbunge ni mtu anaye chaguliwa na wananchi ili kuwawakilisha bungeni badala ya wao wote kwenda bungeni.

Kwa uelewa wangu kazi ya mbunge ni kuwasilisha kero/matatizo/changamoto/mahitaji ya jimbo lake kupitia bunge.

Pia awapo bungeni, ana kazi ya kuishauri, kuikosoa, kuisimamia serikali na kutunga sheria. Kujadili na kutoa mapendekezo kwenye taarifa za mapato na matumizi. Awapo jimboni anashiriki vikao vya madiwani kama mjumbe kutunga sheria ndogo, kujadili mapato na matumizi ya jimbo.

Je kuna zingine tofauti nz hizi unazo zifahamu?
KAZI NYINGINE YA MBUNGE NI kumlamba viatu bwana Magufuli ili apewe pesa za miradi ya maendeleo. Hiyo ni kulingana na maelezo ya Betina Tulia Ackson Mwambeya
 
Na hii ndio nadhani kina mama D wanaizungumzia kuwa ni moja ya kazi ya mbunge.
KAZI NYINGINE YA MBUNGE NI kumlamba viatu bwana Magufuli ili apewe pesa za miradi ya maendeleo. Hiyo ni kulingana na maelezo ya Betina Tulia Ackson Mwambeya
 
Kimei atapewa kura na watu wa marangu mtoni, Mrema atapewa na watu wa kilema na Mbatia Kirua, kura za nyongeza zitatoka kahe, mwika n.k
Kote huko CCM haipo Kimei kaingizwa chaka
 
Back
Top Bottom