Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshindi anatakiwa mmoja hapo,so watatu wanamsindikiza Kiwelu.Mrema anawasindikiza wenzake
Aendelea kuweka kama ana hiyo helaMrema ndio ameweka lami kote kule
Mkuu, Hilo jimbo la Uingereza inaonesha toka 2004 limekuwa likishikiliwa na chama cha Labour na mbunge akiwa ni yuleyule Jennette Arnold.Jimbo la Vunjo limekuwa kama jimbo la North East London huko Uingereza ambalo kila mwaka wa uchaguzi linabadilisha chama.
Uko vizuriMkuu, Hilo jimbo la Uingereza inaonesha toka 2004 limekuwa likishikiliwa na chama cha Labour na mbunge akiwa ni yuleyule Jennette Arnold.
North East (London Assembly constituency) - Wikipedia
Wachaga wana CCM wana misimamo hatarKinacho staajabisha Uchagani wanachama na wapenzi wa CCM ni wafia chama, ajabu kabisa.
Inakuwaje wana CCM wachaga wako vyema mpunga, wakati maeneo mengine wako vinginevyo? Na safari hii wamejikusanya sijui jamaa amewaambia nini?Wachaga wana CCM wana misimamo hatar
Wachaga wana CCM hawanaga akili.. wanaboa sana maana misimamo yao huwa haibadiliki.. typical conservativeInakuwaje wana CCM wachaga wako vyema mpunga, wakati maeneo mengine wako vinginevyo? Na safari hii wamejikusanya sijui jamaa amewaambia nini?
Ni kama CCM tu inavyorudia ahadi za tokea tunapata uhuruNimeshangaa ktk kampeni mbatia anaahidi tena alivyoahidi 2015...
Ni wale wachagga pori ndio wanaikubali CCM.Inakuwaje wana CCM wachaga wako vyema mpunga, wakati maeneo mengine wako vinginevyo? Na safari hii wamejikusanya sijui jamaa amewaambia nini?
Tuta aminije?Akishinda natembea uchi
Lucy Owenya anagombea Moshi vijijini kupitia CHADEMAHivi Grace Kiwelu anagombea jimbo la Vunjo ama jimbo la Moshi vijijini?
Anayegombea msh vijijini ni nani kwa upande wa Chedema
Wachaga hawatabirikiMrema anawasindikiza wenzake
Hichi kibabu ni mamluki wa CCM.Mrema anawasindikiza wenzake
Utembee uchi mara ngapi? Mbona uko uchi tayari na hujui🤣🤣🤣Akishinda natembea uchi
Nitawashangaa sana wapinzani watakao jinadi kwa wananchi kwamba serikali haijafanya kazi ilihali wamekua wabunge kwa miaka na hakuwahijua hizo kero
Jana kimesema kura ya uraisi apewe magufuli na ya ubunge apewe dr. kimei, maana yake ni kuwa kimeshajitoaHichi kibabu ni mamluki wa CCM.
Kilishasema kwenye Urahisi kina muunga mkono Rais wa CCM anayemaliza muda wake!!
Sasa kinashindwa Nini KUMUUNGA MKONO MGOMBEA UBUNGE WA CCM...???
Kuna Wapinzani hapa Tanzania kuwasikiliza ni KICHEFUCHEFU...!!!
Jana kimeema kura ya uraisi apewe magufuli na ya ubunge apewe dr. kimei, maana yake ni kuwa kimeshajitoa