Usinambie 🤣🤣🤣🤣🤣 ila ni pisi kali kinoma
🤣🤣🤣mimi sipo, mtasababishiana ban
Kwa kweli mumewe kakasirika 🤣🤣Tunyamaze😂
Pisi kali, mtoto cheupeUsinambie 🤣🤣
Kumbe mshamba ana haki ya kumsubiri
Sema atakuwa bhangi nyingi, wakenya wanajijua wenyewe
simtaki fifiKwa kweli mumewe kakasirika 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa sauti.simtaki fifi
We ndiomana 😂😂😂Pisi kali, mtoto cheupe
Weee mbona ghafla hivo? 🤣🤣🤣simtaki fifi
Amenichekesha😂😂😂Weee mbona ghafla hivo? 🤣🤣🤣
Haya wamtaka nani? Tukusaidie kumuita
Siri yangu niwacheeeee 🤣🤣🤣Kitu gani hicho😂
Tujuzane
Sio vizuri 🤣🤣🤣Siri yangu niwacheeeee 🤣🤣🤣
Alivyoruka sasa 🤣🤣Amenichekesha😂😂😂
simtaji anajijuaWeee mbona ghafla hivo? 🤣🤣🤣
Haya wamtaka nani? Tukusaidie kumuita
🤣🤣🤣Yaani mpaka nikachekaAlivyoruka sasa 🤣🤣
Yani mshamba me ananivunja mbavu, kila dem anamtaka yeye humu!!
Itabidi umbea wa humu, muwe mnalipiaSio vizuri 🤣🤣🤣
Kama unamjua mtaje😂simtaji anajijua
fifi kasema anapenda wababa wenye mikono mirefu, kasema watz hatuna mikono mirefu
Kwahiyo unataka tukulipe afumoja😂😂😂?Itabidi umbea wa humu, muwe mnalipia
Na me nipate chochote kitu 🤣🤣
🤣🤣🤣 sasa na wewe si ndo urefushe wako muende sawa!! Hebu mtaje basi mana unawataka wengisimtaji anajijua
fifi kasema anapenda wababa wenye mikono mirefu, kasema watz hatuna mikono mirefu