Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #141
Ni nani huyo?acha tu babu Equation x , kuna binti humu niliona picha zake kapendeza kweli ila naogopa kumsogelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nani huyo?acha tu babu Equation x , kuna binti humu niliona picha zake kapendeza kweli ila naogopa kumsogelea
Fifi si yupo 🤣🤣shem uliniambia utanifundisha kutongoza
Nini shida miss!
Ndio huyo wake sasaFifi si yupo 🤣🤣
Nimecheka leo, kumbe Fifi aliumwa had akajikuna na mswakii 🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Nimecheka km chizi, sijataka kucomment asije kunishushua bure.
Wifi mwenyewe kachangamka balaa
nakuonaNini shida miss!
Dah haya bwana...nakuona
Ebu okota kalamu hapo chini 😀Nidake nini? Maokoto? 🤣🤣
Mbona kitambo hujui? 🤣🤣Ndio huyo wake sasa
Wewe unajifanya mjanja sana😂Dah haya bwana...
nina kakitambi😥Sasa kwanini hujiamini?
Naelewa😂Mbona kitambo hujui? 🤣🤣
Mshamba kafa kaoza kwa Fifi
Ndio vizuri hivyo😊nina kakitambi😥
fifi mwanangu sana tunapeana michongoFifi si yupo 🤣🤣
Nimecheka leo, kumbe Fifi aliumwa had akajikuna na mswakii 🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Nimecheka km chizi, sijataka kucomment asije kunishushua bure.
Wifi mwenyewe kachangamka balaa
Nitakuambia utakapokuja kulala 😀Muongo humjui 🤣🤣
Mtaje herufi yake ya kwanza
Anakudanganya chuma chake, ila Fifi anaishi dunia ya peke yake 🤣🤣🤣Naelewa😂
Nashangaa anavyosema ana aibu 🤣🙌
yule suria wako mwenye mimba anaendeleaje?Ni nani huyo?
Hata sina ujanja wowote Ms, muhimu nikutoe out palipotulia sana🤣🤣🤣Wewe unajifanya mjanja sana😂
🤣🤣🤣🤣noma sana, Ms atakubali kweli?Hitimisho ndo mchukue Ms afu mniite nipate darasa 😜
Michongo gani na sisi mtupe jamani 🤣🤣🤣fifi mwanangu sana tunapeana michongo