Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 Me na wewe treeeena babulai, kula chuma hiko mtoto namba E zero kmNduo maana nakupenda🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Me na wewe treeeena babulai, kula chuma hiko mtoto namba E zero kmNduo maana nakupenda🤣🤣
Mara ya mwisho ulizidaka lini? 😀Kupokea nini? 🤣
Acha uoga wewe😂acha tu babu Equation x , kuna binti humu niliona picha zake kapendeza kweli ila naogopa kumsogelea
Hujaachaga kujilalamisha shem 🤣🤣acha tu babu Equation x , kuna binti humu niliona picha zake kapendeza kweli ila naogopa kumsogelea
Basi ngoja siri zako nisiweke waziMkuu umekosea[emoji41]
Namba E hakika, ngoja tuone...ila ile kazi yetu hatujaimaliza🤣🤣🤣🤣 Me na wewe treeeena babulai, kula chuma hiko mtoto namba E zero km
Nidake nini? Maokoto? 🤣🤣Mara ya mwisho ulizidaka lini? 😀
Ile tuachane nayo, kwanza tufocus na namba E 🤣🤣Namba E hakika, ngoja tuone...ila ile kazi yetu hatujaimaliza🤣
Mhh, umeanza kuniogopeshaBasi ngoja siri zako nisiweke wazi
Nishamjua, akiingia kwenye 18, inabidi apokee lita 5Ushamjua kwanza? Au unabet 🤣
Tuyafanyie kazi mkuu, haiwezekani kabisa tuishie mjadala nusunusu.Ile tuachane nayo, kwanza tufocus na namba E 🤣🤣
Muongo humjui 🤣🤣Nishamjua, akiingia kwenye 18, inabidi apokee lita 5
kwanza aliniambia nimtumie picha yangu ila naona aibu😥Acha uoga wewe😂
Sasa utaharibu, utamkosa mtoto huyo! 😂Tuyafanyie kazi mkuu, haiwezekani kabisa tuishie mjadala nusunusu.
shem uliniambia utanifundisha kutongozaHujaachaga kujilalamisha shem 🤣🤣
Sasa kwanini hujiamini?kwanza aliniambia nimtumie picha yangu ila naona aibu😥
Hawakufikishi ipasavyo 😀Mimi huwa nafika kibo sana tu
Pole sanaHawakufikishi ipasavyo 😀