Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Njoo ni kupendezeshe, acha kutembea na warugaruga 😀Ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo ni kupendezeshe, acha kutembea na warugaruga 😀Ni kweli
Naona wanazurura zurura tu, hawataki kuja 😀Ukikusanya wengi nipasie mmoja mkuu, nami nataka alotokezea kuliko wote.
Utazeeka mapema kama hutaki kupendezaMambo ya kupendeza siyawezi kabisa 😊
🤣🤣🤣 mbombo ngafuYes huwa inakua kwa utani lakini wanamanisha[emoji23]
Lamomy 😂We ndio nani?
Shooo ipi?Vipi ile shooo jana? 😀
Nifungulie na me code basi nna shida naye 😃Yupo vizuri tu fungua hiyo medula
Najua umependeza, ebu njoo 😀Lamomy 😂
Basi tena mkuu, nami nipo najiandaa kumkabili kaisari hiyo kesho. Nilidhani ni rahisi kupata loose ball usiku wa leo🤣🤣Anasema hajapendeza kwa leo, nimemshauri aachane na hao waruga ruga hataki
Nitakuambia baadaye 😀Shooo ipi?
Toka muda ule bado hujapata? Me sijapendeza na nilivyo kongoroka afu mfupi, nikitokea hapo nitawashtua watu waanze kunicheka 🤣🤣🤣Najua umependeza, ebu njoo 😀
Mfyuuu huna lolote 🤣🤣Nitakuambia baadaye 😀
Utapata lishe bora minofu itarudi 😀😀; shosti yako yule anayechezaga ngoma za kizaramo? 😀Toka muda ule bado hujapata? Me sijapendeza na nilivyo kongoroka afu mfupi, nikitokea hapo nitawashtua watu waanze kunicheka 🤣🤣🤣
We labda nikupe yule shosti yangu
Eehee huyo huyo 😂😂Utapata lishe bora minofu itarudi 😀😀; shosti yako yule anayechezaga ngoma za kizaramo? 😀
Sio leo tu, Mimi huwa sipendezagi siku zoteAnasema hajapendeza kwa leo, nimemshauri aachane na hao waruga ruga hataki
Kupokea nini? 🤣Ulikuwa umeshajiandaa kupokeaa 😀😀