Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Halaf et anampenda kweli Nyani ngabu huyo ni pilipili kichaa alietuchamba sieee, pumbavu zKe
hwhahawaaaaaaa hio sikuiona ujue siku hyo anasema genivro mi sku hz sikuchambi maana nshamdiss mtaa wa pili
mwehu yule
 
Hahahaaa kweli tena, nakuruhusu na wewe hebu muwazie kidogo yule kichuna wa kizaramo ndo anafanya yake, yani pale passport tuuu....Mungu fundi Wallahi...

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup: ni shhhhhhidah
afu ndo umegombana nae mzuri vile humpati kwa loloteee
 
Insta kushakucha, Linda kaonyesha passport yake....watu wanataka aifungue
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!
 
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!

Mange banaaaaaaaaa wanamsema miguu yake kama miguu ya farasi
 
Mange banaaaaaaaaa wanamsema miguu yake kama miguu ya farasi

Spokooooo!!kama kasimamia miguuu!!Linda mkareee wala hapanic mange kasema linda kapanic walaaa anachukulia kama starehe tuu!Mange amefrustrate eti anasema muite na shoga yako aje asome mfyuuuu hana jipya kabisaaa!!
 
Spokooooo!!kama kasimamia miguuu!!Linda mkareee wala hapanic mange kasema linda kapanic walaaa anachukulia kama starehe tuu!Mange amefrustrate eti anasema muite na shoga yako aje asome mfyuuuu hana jipya kabisaaa!!

Linda hua hanuniii wala kupanik anaepaniki ni Mange hhhhhh shoga yake naniiii/?aje
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup: ni shhhhhhidah
afu ndo umegombana nae mzuri vile humpati kwa loloteee

Ndo mana Mange anapagawaaa....
 
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!

Kakomaaa huyo, miguu kama anatembelea mikono, nilikuwaga nampendaaa lakini nimemkinai...

Ana roho Mbaya Sanaa....
 
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!

Kwahiyo She Is 24 manake zari Is 35 Huyu Mange ni mental Case kwanini anagombana na kila mtu sasa zari kamkosea nini?
 
Kwahiyo She Is 24 manake zari Is 35 Huyu Mange ni mental Case kwanini anagombana na kila mtu sasa zari kamkosea nini?

Kashushuliwa hasira kahamishia kwa Linda, Zari sio size yake kabisaaa, kamchokoa weeee mdada wa watu kimyaaaa....chezea Waganda kwa dharauu...sasa karudi kwa Linda anamuandikia magazeti na kujijibu mwenyewe....

Ana kichaa yule Dada....halafu anamuita Mbuta nanga baboon wakati Huyo mwanae sasaa....lol
 
wema ana huo mda hivi mange anampenda wema
wala hampeni ila anajua wema ana team kubwa akisema amponde itakula kwake ndo maana anajifanya kumsifia sifia ila sie watu wazima tunajua lengo lake sana

HiYo Team ya wema Wapo watu wa Aina Gani?
 
Chagabarbie hana mtoto na anaishi minesota sijui. Linda yes ana watoto anaishi atlanta...gharama za kuishi atlanta na california ni vitu viwili tofauti sanaaaaaaa....yeye mange kaja juu anataka kuonesha wafuasi mambo mazuri. Mpaka leo hii huo mjengo wa beverly hills haoneshi kazi kupiga picha akiwa out tuu sio nyumbani kwake. Navyojua mimi kuown nyumba california ni shiiiida. Sio tuu morgage kuna taxes sasa ukiishi na matajiri ujue utalipa property na school taxes za kitajiri ndo maana kina linda na chaga wamenawiri, hawajakurupukia maisha ya marekani washayazoea wameshakaa siku nyingi wako kwa system sio mange alipata solicitation ya credit card ya american express akaipiga picha akaibandika kwa blog akasema eti makampuni makubwa yanamtafuta yampe mkopo hapo ndo nilipojua kumbe badooo sana manake hizo solicitations hata paka wangu anapata 4 kwa wiki

Hähähä hähähä mkopo kwa biashara Gani jamani? Ukishindwa kulipa wanakunyang'anya kila kitu
 
is it true flora ni mgonjwa wa akili?

1422097232843.jpg how to look sexy at home mange ana dhambi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom