hwhahawaaaaaaa hio sikuiona ujue siku hyo anasema genivro mi sku hz sikuchambi maana nshamdiss mtaa wa piliHalaf et anampenda kweli Nyani ngabu huyo ni pilipili kichaa alietuchamba sieee, pumbavu zKe
hwhahawaaaaaaa hio sikuiona ujue siku hyo anasema genivro mi sku hz sikuchambi maana nshamdiss mtaa wa pili
mwehu yule
Hahahaaa kweli tena, nakuruhusu na wewe hebu muwazie kidogo yule kichuna wa kizaramo ndo anafanya yake, yani pale passport tuuu....Mungu fundi Wallahi...
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!Insta kushakucha, Linda kaonyesha passport yake....watu wanataka aifungue
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!
Mange banaaaaaaaaa wanamsema miguu yake kama miguu ya farasi
Spokooooo!!kama kasimamia miguuu!!Linda mkareee wala hapanic mange kasema linda kapanic walaaa anachukulia kama starehe tuu!Mange amefrustrate eti anasema muite na shoga yako aje asome mfyuuuu hana jipya kabisaaa!!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup: ni shhhhhhidah
afu ndo umegombana nae mzuri vile humpati kwa loloteee
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!
Depression mtu haongei sana , labda km unazungumzia mania.
Hiko kimange kimambi ni kimtu cha hovyo sana.
Ndiyo maana amepauka pauka pamoja na kujitutumua.
Ha ha ha!mange kaandika gazeti lingine kaweka na contacts za mme wa Linda yani kale kamwanamke kanasema kapo young ten years kuliko Linda na Zari...ghoooosh she looks older!!
hapo ndo yuko ulaya na mme mzungu na fedhwa kibao za bongolishaz
Kwahiyo She Is 24 manake zari Is 35 Huyu Mange ni mental Case kwanini anagombana na kila mtu sasa zari kamkosea nini?
wema ana huo mda hivi mange anampenda wema
wala hampeni ila anajua wema ana team kubwa akisema amponde itakula kwake ndo maana anajifanya kumsifia sifia ila sie watu wazima tunajua lengo lake sana
hahaahaaaaaa mchaga na mkurya
dah wanafanana
Ukiwa na roho mbaya hauwezii kuwa mzuri She is toxicated with hate
Chagabarbie hana mtoto na anaishi minesota sijui. Linda yes ana watoto anaishi atlanta...gharama za kuishi atlanta na california ni vitu viwili tofauti sanaaaaaaa....yeye mange kaja juu anataka kuonesha wafuasi mambo mazuri. Mpaka leo hii huo mjengo wa beverly hills haoneshi kazi kupiga picha akiwa out tuu sio nyumbani kwake. Navyojua mimi kuown nyumba california ni shiiiida. Sio tuu morgage kuna taxes sasa ukiishi na matajiri ujue utalipa property na school taxes za kitajiri ndo maana kina linda na chaga wamenawiri, hawajakurupukia maisha ya marekani washayazoea wameshakaa siku nyingi wako kwa system sio mange alipata solicitation ya credit card ya american express akaipiga picha akaibandika kwa blog akasema eti makampuni makubwa yanamtafuta yampe mkopo hapo ndo nilipojua kumbe badooo sana manake hizo solicitations hata paka wangu anapata 4 kwa wiki