Hata kama ni kweli haoni kama anawaharibia Watanzania mpaka wengine wananyimwa Viza kwa ajili ya wassenge kama yeye?
Wazungu wala hawana shida kama wewe siyo criminal kumchongea mtu sana sana wanakusanifu tu na wanaweza kukupa ndizi kabisa.
Hata kama ni kweli haoni kama anawaharibia Watanzania mpaka wengine wananyimwa Viza kwa ajili ya wassenge kama yeye?
Wazungu wala hawana shida kama wewe siyo criminal kumchongea mtu sana sana wanakusanifu tu na wanaweza kukupa ndizi kabisa.
Ni sheeda et anataka akamchomee Linda arudi bongo hhhhhaaa
Hhhhaa tunasubiri mwisho wakeeeee
Hhhhhhhaaaa kwa hiyo ashafanya mazoezi tumbo likakaa freshii eti? Mange haaminiki ujueeee
kuzaliwa na mtu km mange ktk familia unaeza umkataeYaan namhurumia huyo baba yake anavyotukanwaaa loooo
Mbaya zaidi ameshakufa, mtu anaishi nyumba ya vioo halafu kutwa kuwachokoza vichaa sijui huwa anategemea nini!
Yule anastahili ndizi kabisaaa, hajamaliza stages za evolution ndo mana kazaa kale kababoon.....Ashukuru mkorogo unamsitiri...
Obama executive order Linda Ana watoto USA citizen hawezi rudishwa na mange ataishia pabaya
Kwanza naomba kuuliza mtu ambaye hana paper anaweza kuingia na kutoka Marekani atakavyo?
Mdogo wake wakati anashiriki BBA Linda alikwenda South Africa akitokea Marekani wakarudi wote na Richard Bongo.
Mwaka jana Linda amekwenda Italy, Spain, France na UK na akarudi Marekani je hapo airport ya Marekani huwa anapitaje?
chumba km stoo ya vtu vya zamani daah
mda wa kuandika magazeti si angekua anafagia bas
anapata wapi mda wa kujipamba,show off akakosa dkk tano za usafi ni shiiiiidaaaaa
Ni sheeda et anataka akamchomee Linda arudi bongo hhhhhaaa
Wote wajinga tu si Mange, Linda wala huyo Florah kutukanana kwenye mitandanao mimama mizima mpaka inakeraYani hata apige simu uhamiaji kila siku hana evidence zozote za kuwafanya wamrudishe Linda. Kasema ni mcongo kumbe uongo hana passport ya congo linda kaonesha visa ndani ya passport yake na sijaona reference ya ucongo. Hawa supporter wa mange wanamdanganya sana
hhhhhhhjhaaaaaaaaaaaaaas
Kwanza naomba kuuliza mtu ambaye hana paper anaweza kuingia na kutoka Marekani atakavyo?
Mdogo wake wakati anashiriki BBA Linda alikwenda South Africa akitokea Marekani wakarudi wote na Richard Bongo.
Mwaka jana Linda amekwenda Italy, Spain, France na UK na akarudi Marekani je hapo airport ya Marekani huwa anapitaje?
Mange ni mdada aliyepigwa zongo la kugombana na kila mtu.
Nasukia alimtukanaga bibi fulani,huyo bibi akamwambia utagombana na kila mtu na watu wakugombana nao wakiisha utagombana na mijusi na mende.Cheki hawa watu alogombana nao then uniambie kama huyu hajalogwa kugombana na watu.
1.Teddy Kalonga.
2.Adelina Mushi.
3.Devota Diva
4.Cynhtia Masasi.
5.Richard Mziray
6.Mike mziray.
7.Shigongo.
8.Chaga barbie
9.Advocate Magai
10.Diamond
11.Linda
12.Shamim
13Kiki Zimba
14.Sintah
15.Jestina George.
16.Mke wa mzungu wa SA
17.John Mashaka.
18.Max Melo
19.Mmarekani muuza mawigi.
20.Mdada wa mbongo aliyecoment kwa mmarekani muuza mawigi.Lol
21.Eve Collection.
22.Ray Kigosi.
23.Mbuta nanga aka butifu Onyinye.
24.Kinje.
25.le Mutuz
26.Mdada Marehemu wa UK(anagombana hadi na waliokufa)
27.Nuru the Light(mpole sana huyu maskini ya Mungu).
28.Rachel Temu.
29.Zari.
30.Joyce Kiria
31.Maznat bridal
32.Hasheem Thabit
Wengine siwakumbuki but is this normal?
Kwenye , list yako ongeza Viola katoka kuandikiwa gazeti
kwikwikwikwiw naye kayataka ngoja tuwatch movie siye