Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Boga halinyeki hapaaaaaa,hushibi mpaka ubanane na mimi hahahahaha bibie u non existing factor we endelea kujiquotisha hapaaa

kama boga halinyeki kunya Tikiti
hutaki kuona quotes zangu put me on ignore list.. SIMPLE LIKE THAT
 
kama boga halinyeki kunya Tikiti
hutaki kuona quotes zangu put me on ignore list.. SIMPLE LIKE THAT

Heheheheheh we fyotola fyotola tuuuu,toka mwaka Jana mpaka leo umenibeba tu,kukuignore ni kitambo sana sinaga mda na unachoandika humu umejiquotishaaa mwenyeweeee which makes me happy....tuliza kipapaaa si umechagua mwenyewe kuniquote utakunya weye hayo maboga na matikiti punguza hashuo mtoto wa kike shomboooo hadi kwa female wenzako inahuuuuuu
 
gahahaha lara 1 mbona unakuja usiku wa manane watu wamelala haha njoo mapema bhana nipe nikupe ndo tam nakaanga popcorn kesho usikose

Hahahahaaaaaaa! Nilitoka U trn ndo nikaona, nikasema nije nimcheki mshika duster na chaki.
 

Vya kawaida BABA ZENU wewe na Lindapapa pamoja nakuishi maisha marefu wanavyooooo?
 
huku hawezi kuja si ndio maana kakimbilia huko......

kichambo chake angekimbia

hahaaaa mpaka mwana JF.. huyo lazima ni member na mfatiliaji wa mambo tu huku

Mbona mnajipa umuhimuuuuuuuuu MSIOKUWA NAO? Aje huku kufanya nini wkati WATOTO WA MAKUPUKUUUUUUU, WASHIKA CHAKI, MAFUKARA WAKUBWA (hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa) mmejaa humu celebrity. Masikini wakubwa mpaka mnajificha nyuma ya ID midomo mirefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! ASIE MASKINI AWEKE JINA LAKE KAMILI, NA WHAT HIS PAPITO HAS IN THIS TOWN! Hahahaaaaaaaaaa! Nyooooooooooooooooo! WATIZAME KWANZA MMJIFICHA AFU MNAPAMBANA NA WALIO LIVE. KAMA MNA JEURI TOKENI LIVE, KAMA HATUJAZIMIA KWA CHEKO! Halooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo! Ya washika duster.
 

Wewe nawe hii IQ yako nawasiwasi nayo! Watu wa siri wapi? Hivi wewe mtu akikutumia habari ya siri kaka yako shoga utaiamini tu coz umetumiwa? Bila ushahidi wala vigezo, kurupuuuuuuuuu ushaiamini?
 

Hahahaaaaaaaaaaaaaa! Mikwara bubu? Muulize Muke ya King kong na Vai Mparadoooo. Sumu ya panya inageuka pepsi. Yenu yakikaa hadharani mnazimia hata kuchutuma hamuweziiiii. Pole sanaaaa yani huyo uliemuamini bora hata ungeita mkutano PM ukawaamini watu woteeeeeeee kasoro huyo mmoja! Ushasambazwa Ahera na Duniani. Hahahaaaaaaaaa! Just kaa ukijua Pm zasomwa hatari, na jamvi hili ni la binadamu na binadamu hawaaminiki. Ticha mi ningekuwa wewe ningeanza kuwapa counselling wakiona kikundi kinakuja kukufata kwenye pindi waanze kupipa myowe na kurusha madaftari, kompasi, penseli, chaki, chochote walicho nacho, na duster walifiche maana watakupaka nalo usoni.πŸ˜›oa
 

Hahahaaasaaasasaas
haya bas nawaruhusu kiroho safiiiii
yule mke wa king kong mbona namjuaaa na mdogo wake
sa sijui mi ntaitwa mke ya rhino
 

kila nikipita africana namkumbuka lala na mange wake,aaaah
 
Hahahaaasaaasasaas
haya bas nawaruhusu kiroho safiiiii
yule mke wa king kong mbona namjuaaa na mdogo wake
sa sijui mi ntaitwa mke ya rhino

Haahhahahaaaaaaaaa! Muke ya rhino? Muke ya Tembo! Hahahaaaaaaaaaaaa! Mama mkwe kama alikuwa anatafuta sababu ya kukuvulia nguo akuachie radhi siku hiyo anakuja mtupu mtupu toka nyumbani kwake. Hahahaaaa! Sipati picha.
 
Haahhahahaaaaaaaaa! Muke ya rhino? Muke ya Tembo! Hahahaaaaaaaaaaaa! Mama mkwe kama alikuwa anatafuta sababu ya kukuvulia nguo akuachie radhi siku hiyo anakuja mtupu mtupu toka nyumbani kwake. Hahahaaaa! Sipati picha.

ni shidddaassw nasubira mchambo hapa wa hajaaa
ila mkija mje vizuri na mjipange kisawasawa msije na shungi nikawatoa na viremba bureee
mjiangalieee,mjipangeeeeeeee
tena mrudishe majeshi nyuma then ndo mukujeee
 

brenda18 quoted Heaven on Earth in post Re: Zari white party
unaweza kujiona mjanja kumbe bonge l...

Nimependa personality yako na majibu yako pia

anaye ni ignore huyu....... ku ignore mchezo
kuita wengine Pathetic uliona sawa.. we umeambiwa
ur act was pathetic umepanik..
 

hatujaamua kutoka tu watu na status zetu mjini mashauzi hatuna kwi kwi kwi kicheko cha pesa hicho angalia usiharibu kazi za boss huko maana akikukuta upo jf no maelezo mkono hautaenda kinywani huo ohooooo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…