miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Hahahahah wewe mie nipanik na fake ID si ntapagawaaa,sina habareeee naona unavyojiquotishaaa,bibie mie jf ni kutoa stress siwezi kujistress na mambo ya humu twendeee endelea kujibu we si ndio umeanzaaa
brenda18 na Heaven on Earth just ignore your misunderstanding jamani...
Hahahahaaaaa that's my brenda18 bwana.
weee waache watoe nyongo zao mwaka mpya huu
Hahahahaaaaa! Mi nilienda kistaarabu sasa wakaomba ndevu kwa Osama, do nikawaonesha na mimi nimekaa uzaramoni. Mwalimu ana mdomo mrefu sanaaaaaa kuishupalia hii ishu, afu mwalimu watu wanamjua in ze PM, mpaka shule yake wanaijua. Kilichobaki kumsearch facebook to mwalimu kindumbwe ndumbwe na duster lake mkono mmoja, mkono mwingine chaki. HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA! Patamuje hapooooooooo! Sasa hyo mwalimu kama ni geni au sio bado sijajua manake humu nimo kama simo, ndo nausoa kwanza mchezo.
Ujue shule haidanganyi, kweli yule msomi kuliko Linda halina ubishi, ex drug dealer na MBA wapi na wapi? Linda ndo lafa anashinda kutaja viungo vya uzazi tu, mwenzie anampa fact za maisha , ampeleke mtoto shule yule.
Acheni hizo swaga bwana....si yameisha!!
Naacha mwaya..yashaisha
Hahahaa ushangae wewe kati ya woteee kachagua kuniquote mimi kumbe av been a hot cake toka siku hioooo mabwakuuuu ukisikia watu kujizeesha na mambo ya past wakati mie sina habareeee,hivi Dinazarde nikumbushe ulikuwa mwezi gani ule last year nshasahau mie kumbe mtu alinibeba halooooo
Jamani yaishe Brenda, ,,mi nishasahau ni nikukumbusheee!!
Ni vizuri mpenzi......ila walimu tunasemwa ile mbaya.
Vipi samaki shoga ushamaliza?Watu na biashara zenu
Jamani yaishe Brenda, ,,mi nishasahau ni nikukumbusheee!!
Hahahaa nifah my ushasahihisha madaftari hukooo sio kuja kubanana jeiefuu hapa
Mie mwenyewe nshasahauuuu ngoja tuachie wanaokumbukaaaa
Ivi samaki wako unauza sa ngapi mbona mda wote upo na smartfon yako we mke wa kisukuma weee uza samaki hukooo Hahahaa
Mimi jobless mama.Nifanye kazi kwa dhiki gani niliyonayo?
Hahahaaaaaaaa! Ukisikia paaaaaaaaa ujue mwalimu alietiwa bicha likavimba kama puto kapingwa na sindano ya kichambo!😛oa Ualimu wito nafahamu hilo ila MWALIMU MCHAMBAJI hilo jipyaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! Hahahaaaaaaaaaaaaaaa!
Afu najribu kuimagine yule aliepeleka ile habari ya mwali kule ni ID ya nani humu? Na lazima ni mtu anashinda humu celebrity, nina muhisi Haven on Earth, lakini HOE nini team Mrs Sembe asingeweza kumtetea Mange, Bado napeleleza miandiko, nimjue nicheke vizuri.
Hahahahah wewe mie nipanik na fake ID si ntapagawaaa,sina habareeee naona unavyojiquotishaaa,bibie mie jf ni kutoa stress siwezi kujistress na mambo ya humu twendeee endelea kujibu we si ndio umeanzaaa
Kula hela ya urithi acha sie wenye elimu tusololeke....tupinde migongo na kubinuka binuka...
Ni vizuri mpenzi......ila walimu tunasemwa ile mbaya.