Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Yani miye ndio waniache miaka 100 watu tuna bima za maisha na wala kwenye Kundi la kutafuta maisha Mimi simo, Mimi naishi sitafuti maisha.
Umenisoma mpwa? Yule ngedere anadhani kila mtu ana akili kama zake za kutambia ukwasi wa wazazi, watu hawana mpango kuexpose mambo ya kifamilia.
Last weekend nilikwenda kuwatembelea wazazi mshuwa akanipa smartphone lake nimsetie vitu fulani kwenye previous history nikakuta huwa anaingia JF na ya JF for Android kaipakuwa.
Zamani ilikuwa ukisikia watoto wa kota Mimi ni mmojawapo sasa napata tabu kuelewa mtu aliyezaliwa kwenye silver spoon family Kuwa na roho ya kichawi.
Matola wakuache,,,hhhhhaaa umechambwa tena kwa sinta anaeweza atuwekee screen shot wajuz wa mambo,,matola unakua maarufu kila blogu