kapare kana wivu wa kijinga kale...
Na wewe una "depresion", mbona umeandika ligazeti refu ambalo hata halivutii kumponda Mange kwa kitu ambacho huna uhakika nacho kama ni kweli au uongo??! Mange hajaponda utajiri au mafanikio ya Zari ila ameponda tabia ya mtu ambayo haina uhusiano na mali zake.
Fikiria kabla hujamponda mtu.... Am sorry manake na mimi ntaonekana mwanaume mmbea kuingilia mambo ya wadada.
Kweli hata mimi ananiboa kama hili sakata la Zari amelikomalia utafikiri amechukuliwa mume. Yaani anamtafuta Zari uchokozi kwa nguvu zake zote.
Mi najiuliza hivi mumewe akisoma ile article jinsi Mange alivyokua akiwinda kupata mume mwenye hela atajisikiaje?
Si ataona kaoa gold diger.Halafu kama lengo ni kuolewa na mwenye nazo siku mumewe mambo yakimuendea hovyo Mange atabaki na Mume chokest au ndo ataingia tena viwanja kuwinda mwingine mwenye nazo?
Too many questions.
I meant ana manic depresion or mania as u said which still ni depresion.Hii ndio inamfanya mtu anaongea sana kama Mange.Lol
Yeah alivyokua Dubai alikua anapendeza sana.
Kazi iPoBila kusahau alimshutumu lawyer mmoja wa IMMA kuqa kambaka, sikumbuki lini ila labda ndio ilikuwa ticket ya kwenda dubai...mtu aliyetaka kubakwa kiukweli anaweza kukaa chini kuongelea mambo ya wanawake wenzake bila kukumbukia tukio? Natumaini hakutungaga na kusema ilikuwa wakati yeye alishindwa kumpata.
Mange ni mdada aliyepigwa zongo la kugombana na kila mtu.
Nasukia alimtukanaga bibi fulani,huyo bibi akamwambia utagombana na kila mtu na watu wakugombana nao wakiisha utagombana na mijusi na mende.Cheki hawa watu alogombana nao then uniambie kama huyu hajalogwa kugombana na watu.
1.Teddy Kalonga.
2.Adelina Mushi.
3.Devota Diva
4.Cynhtia Masasi.
5.Richard Mziray
6.Mike mziray.
7.Shigongo.
8.Chaga barbie
9.Advocate Magai
10.Diamond
11.Linda
12.Shamim
13Kiki Zimba
14.Sintah
15.Jestina George.
16.Mke wa mzungu wa SA
17.John Mashaka.
18.Max Melo
19.Mmarekani muuza mawigi.
20.Mdada wa mbongo aliyecoment kwa mmarekani muuza mawigi.Lol
21.Eve Collection.
22.Ray Kigosi.
23.Mbuta nanga aka butifu Onyinye.
24.Kinje.
25.le Mutuz
26.Mdada Marehemu wa UK(anagombana hadi na waliokufa)
27.Nuru the Light(mpole sana huyu maskini ya Mungu).
28.Rachel Temu.
29.Zari.
30.Joyce Kiria
31.Maznat bridal
32.Hasheem Thabit
Wengine siwakumbuki but is this normal?
nasikia zari ana watoto wawili nikweli au
Fursa za kugombana na watu kwa Mange sio tatizo.Akimalizana na Zari anaweza akashtua kidogo kwa Shamim au Chaga au Linda huku akivuta kasi ya kumtafuta adui mpya.Sidhani kama pasaka itafika kabla hajapata adui mpya wakumuandikia gazeti.
Eti mwenyewe anasema anawa stress wabaya wake kwa yale magazeti yake ila sasa cha kushangaza picha zake zinaonesha yeye ndo full mistress yaani hana furaha kabisa.
na mi nimeanza mjua mda kweli labda ye alokuja mjini kwa mbio za mwenge
nasikia zari ana watoto wawili nikweli au
tena mwamy ndo alimpa dili vodana mwamvita makamba umemsahau.
yaani ni shiidah then wapambe wake wanafki sana ngoja wakatutukane kwa sintah maana wanajua kule tunapita hapa wanasoma tuMwamvita Makamba Jee
Nchekeeee mie, hata wale anonymous wake atagombana nao tuu soon 👀
Sifi leo, kesho, keshokutwa, wala mtondogoo.
Wewe ni mzushi na msabasi wa kiume.
Badilika.