Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Aisee magazeti kwa blog yake saivi daily bidada hilo tatizo alilonalo litakuwa fungua mwaka manake inaonekana anaumia sana. Sijui kaachwaa!manake kapanick kamchamba mbuta nanga page tano eti hana driving licence...jamani driving licence nancho ni kitu cha kusema umemchamba mtu sasa..sasa hao wafuasi wake wanamsifia eti mange ni mwisho anachamba kwa fact hadi nimeona huruma yani wanashindwa kumshauri atulie apate suluhisho la kinachomtatiza au wale marafiki zake waende kumsaidia mweeeeeee

mi sijaona jipya ktk yote pale kashayazungumza hasa ya linda toka mwaka juzi alishayasemaga na wamefanya makusudi kumpanikisha kumbe inauma kuandikwa ye anamuandika zari kila siku
sijui kamkosea nini ama kweli yule dada hana faraja namuone ht huruma
 
Basi angerudi kwa nyuma kidogo sasa unampa mgongo jamani yaan inaonyesha ubaguzi kwelii,,,,,halaf kuna picha niliiona ya bhoke na baba yake na wadogo zake kule Uk bhoke ana furaha kweliii,,,lakini akiwa kwenye picha za Us anaonekana hana raha
Mi nampenda bhoke pamoja na ubaboon wake

yani we acha tu yule lance sio kabisa
mi siezi mchukia bhoke hajanikosea na yule ni mtoto tu kwa kweli hana makosa
 
Jamani,Mange the mental case,kashusha magazeti ya hatariiiii kule u-turn,this time ni dhidi ya Linda,Flora na rachel temu!!dah!what a sad life!!

Nimeenda kucheki aisee amepaniki.
Sikutegemea kama Mange anaweza kupoteza Muda wake kumuandikiq gazeti Mbuta.
Alisemaga eti hana hadhi yakugombana na Sintah sasa kweli ndo kashuka hadi level za Mbuta.
 
Ila wamemchokozaa jaman mi niliona kuna mtu anajiita Linda kiboko ya mange kila siku anamtukana mange,mbutananga fan na arsenal wenger kila siku kumtukana mange nikaona hapa magazet tamekaribia kushushwa anasema team ukweli na uwaz ni Mbuta basi nae ni kweli ni dogymasta,,,hao watu kwa kutukanana ni shidaaaaa queenkami Kim nana Heaven on Earth tofali ladykim mkuje kushakucha zamaniiiiiii

Nimeona aisee kwa kweli nimemuonea huruma maskini sijui kama anapataje usingizi maana mmh yaani ameandika nitaenda kumalizia lile gazeti badae nimeshindwa kulimaliza.
 
Last edited by a moderator:
Ila wamemchokoza wenyewe kama wanataka kutukana wangemtukana mange kama mange sasa wanawaingiza watoto siyo vizuri watoto wanauma


Hata mimi hiyo yakutukana watoto inaniumiza.Halafu ka Bhoke kacute kweli nikiona anatukanwa roho inaniuma.
 
ktk hii dunia hakuna kitu kizuri km faraja mi nawaambia
mange mkisoma yule faraja yake ni kina koku na marichui ndo maana anajitahdi kufanya yote awafurahishe wale by hook by crook
ukute alivyotegemea sivyo alivyokuta kwa mme
ana stress yule dada kwanza kapoteza marafiki wengi wazuri tena bonge la company amebaki killy janga na huyo killy kwa sasa sio kivile
upande wa mama ake haelewani nao mama ake hamzungumzii ht km alimkosea kias gani ye angemshukuru kwa kumzaa tu inatosha
yule dada mi mwenzenu naweza sema mbuata nanga na yeye bora mbuta tunamjua ni chizi mwenye vyeti kuliko yule maana
tujiulize ana familia,mme wa ndoto yake,watoto na elimu
kwa nini yuko vile sasa?
je asingekua na hvyo vtu?si angekua mchawi?au jambazi
yule ni wa kumsamehe bure tu maana ile si hali ya kawaida kwa binadamu
kutukanana ndo faraja yake na haezi ishi bila kuchukia watu au kutafuta wagomvi wa kukwazana nao
hatukatai binadamu tuna mapungufu ila ukiona mtu anakwaruzana na kila mtu na hasa mama mzazi huyo sio wa kawaida
am sory mashabiki wake ila kwa upeo wangu mi hayo ndo nimeyaona
namuonea sana huruma yule dada maana kuna siku atahtaji msaada wale anaowatukana ndo watamsaidia na wale mashabiki maandazi wanaompaka mafuta kwa mgongo wa chupa hawatokuepo

Yaani umeongea bonge la point.
 
Aisee magazeti kwa blog yake saivi daily bidada hilo tatizo alilonalo litakuwa fungua mwaka manake inaonekana anaumia sana. Sijui kaachwaa!manake kapanick kamchamba mbuta nanga page tano eti hana driving licence...jamani driving licence nancho ni kitu cha kusema umemchamba mtu sasa..sasa hao wafuasi wake wanamsifia eti mange ni mwisho anachamba kwa fact hadi nimeona huruma yani wanashindwa kumshauri atulie apate suluhisho la kinachomtatiza au wale marafiki zake waende kumsaidia mweeeeeee

Kuchamba anqchamba ndio ila mi naona kamq hata haisaidii kitu maana hao kina linda naona wameshakua sugu na huwa wanamiss vichambo vya Mange.Linda huwa anatulia siku mbili tatu then anaibuka tena.lol.
Yaani mi naona hawa kutukana na kuandikiana magazet mitandaoni kutaisha siku wamezeeka vidole vimekakamaa haviwez kutype tena.
 
thnx umenielewa mi nilimsikiaga DK mmoja wa CLOUDS fm mtu km yule kuna jina la kitalaam wanamuita alivyokua anaeleza ndivyo alivyo MANGE
mnisamehe wapenzi wake ila boss wenu ni abnormal huo ndo ukweli
na yule if and only if her mom would be alive ndo angemponya lile tatizo wengine hatuwezi na hamtaweza la bibi mzaa mama au mamkubwa
mnaweza niponda au kunichukulia ni hater as usually but kwa leo namuonea huruma sana japo hahitaji huruma yangu but me ni mzazi pia na nimezaliwa
pia nimeishi na jamii tusidharau wazazi hasa mama kitendo cha kubeba mimba 9months na kukuzaa pekee mshukuru ht km alikutelekeza kukuzaa inatosha
yule dada hana faraja na nyie fans wake hebu muambieni arudi kwa mama zake ht kufagilia makaburi tu then aone
am sory kwa gazeti ila namhurumia sana

Narcisstic bordeline personality disorder .USA wanapewa dawa .
 
That's it!Sie wanawake kwa kawaida ni wagomvi,hata mie mtata,ila simfikii Mange hata asilimia zero!Yeye ni mtu ambaye hawezi kutorolate sababu yeyote kuvunja urafiki na kuzusha ugomvi!Afu anakimbilia kwenye blog yake,ameitumia kama silaha ya kuwaumiza wabaya wake,ndio ni yake,ana haju ya kuandika lolote ila its too much!yani kila mtakayekwazana naye umuweke kwenye blog yako?angejua wale fans wana enjoy tu

Mange Mara anajifanya victim,Mara Ana create crisis ,kutwaaa.madai Yake hajichanganyi na wa bongo .angejichanganya ingekuaje?hapa USA every second minutes counts yeye mitandaoni tuuuu.Muda gani anacheza na watoto ,homework .activities za watoto shuleni anakwenda kweli?
 
Kuchamba anqchamba ndio ila mi naona kamq hata haisaidii kitu maana hao kina linda naona wameshakua sugu na huwa wanamiss vichambo vya Mange.Linda huwa anatulia siku mbili tatu then anaibuka tena.lol.
Yaani mi naona hawa kutukana na kuandikiana magazet mitandaoni kutaisha siku wamezeeka vidole vimekakamaa haviwez kutype tena.

mambo yenyewe yaleyale tushayazoea mi sijaona jipya kwa mange hata moja zaidi ya kumuonea huruma tu maana wenzie wale na wehu wao mama zao wako nao na ht km wamekufa wanawakumbuka ye kwanza aclear kwa mama ake ndo aje upya
 
yani we acha tu yule lance sio kabisa
mi siezi mchukia bhoke hajanikosea na yule ni mtoto tu kwa kweli hana makosa

Ila bhoke hana raha huyo mtoto sijui kanaumwa sijui baba wa kambo anamkosesha rahaaa,sijui ashajua anavyotukanwa mtandaon kupitia mama yake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom