Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,709
voda wanamlia mingo tu
yani wale wadada km yule mwingine my very close person simtaji namhifadhi halafu mstaarabu jamani na wazazi sasa wastaarabu hatari anaona donge ye kaolewa us mume kafulia ptuuuu anabaki kutukana wenzie waliowahi hapahapa bongooo
wapiii dada achana nae na mungu ailinde ndoa yako miaka elffffff
Nikuchekeshe, yule Dada ni wajina wangu aisee, nlivyoingia kule nikakuta jina nikastukajee...ila nimeumia sana alivyomchambia hadi Dada na wakwe, nimemtukana sana Mange Leo...Mungu atanisamehe