Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Lara 1 ukitaka kujua Mzazi wako ni tajiri Ishi USA .kuishi USA ni fundisho kwa kila binadamu .america utajua maana ya TIME,COST na STAREHE..mange anacheza chezacheza huyo Linda hustler .Ukimfuata Linda na makelele Yake utajikuta homeless .Linda Hana mashoga yeye ni mdomo na kazi.Linda ni m bepari Yule .Mange yeye Daddy daddy .Mange anahitaji kukua na kuelewa maisha hayahitaji mchezo.muda hauendi nyuma ni mbele.Hao wanao comment kwa mange ndio Hao wanao comment kwa Linda au humu jamii forum.kumbuka TIME COST MONEY .no body will pay your rent .JIULIZE kwa nini Hao wote wenye Kelele wapo USA au waliishi USA.ukitaka kujua stress come to America .

We binti wa mama Nyoni na wewe unaongea nini? Kwanza kesi iliisha ya ufisadi? Sasa if dady left her some fortune kosa lake nini? Mwisho wa mwezi $ 5000 hizooo, akbebe boxi la nini? asukume chrehani ya nini? Linda should work hard, even harder cause dady may leave her with debts.😛oa
 
Sijaelewa hili bandiko lako lengo nini? mara sifatilii umbea, mara naburudika, mara mashoga wapo? Get a life!

nimesoma uzi kutoka mwanzo....lara umenifurahisha hadi natetemeka....
 
angelita mambo ya kunipigia simu niko busy na saba sota natafuta hela ya kula kwenye uwanja wa fundi seremala sitakiiiiiiiiii! Anaenichamba naniiiiiiiiiiiii? Yuko wapi? Nitag niwaone. Mpaka Linda papa kaniblock mimi ni champions league kwa uchambaji.
 
Last edited by a moderator:
We binti wa mama Nyoni na wewe unaongea nini? Kwanza kesi iliisha ya ufisadi? Sasa if dady left her some fortune kosa lake nini? Mwisho wa mwezi $ 5000 hizooo, akbebe boxi la nini? asukume chrehani ya nini? Linda should work hard, even harder cause dady may leave her with debts.😛oa
hahahaahahah.....tatizo nyota....
 
angelita mambo ya kunipigia simu niko busy na saba sota natafuta hela ya kula kwenye uwanja wa fundi seremala sitakiiiiiiiiii! Anaenichamba naniiiiiiiiiiiii? Yuko wapi? Nitag niwaone. Mpaka Linda papa kaniblock mimi ni champions league kwa uchambaji.

hahaha huyo angelita si ungemtext basi au not richabo kidding
 
Last edited by a moderator:
angelita mambo ya kunipigia simu niko busy na saba sota natafuta hela ya kula kwenye uwanja wa fundi seremala sitakiiiiiiiiii! Anaenichamba naniiiiiiiiiiiii? Yuko wapi? Nitag niwaone. Mpaka Linda papa kaniblock mimi ni champions league kwa uchambaji.

Ndo nn umekuja kunianika sio hapa kule kwingine bhana, nenda kajibu mashitaka.
 
Last edited by a moderator:
Kujishaua tuuuuuuuuuu! Akublock kwa kipi? Nenda blog pale ukajimwage! Hajamblock Lindapapa ndo akublock wewe si maajabu hayo?

Linda kiboko ya Mange imefungiwa na Instagram...., mie siko kwa Linda Papa wala Mange .... wote wanajitia umajinuni na kuishia familia na watoto wao kudhalilishwa......
 
Kule kwenyewe kazi nishamalizaaaaaaaaaa! Uwanja shwariiiiiiiiiiiii! Kupo kimyaaaaaaaaaaa!

Vipanya vyote vimekimbia, wanasubiri paka upotee watawale hahahaaaa, mbwembwe zote zimepotea.
 
Huo umbea ukiwekwa hapa kina Mike watautoa dakika 2. ILA ALL PEOPLE ABOVE 23 HUMU CELEBRITY MPANDISHE GAME YENU NA KUACHA VIUMBEA VYA KITOTO, MUAMIE KWENYE CHAMPIONS LAEGUE. Unasikia umbea wa wakubwa wenzio, watu na watoto wao. Huu wa huku muachieni warumi best yao kina dogo janja na young d

Sasa hili jukwaa la celebrities ulitaka watu wajadili nini...

Tuache walimu, wakaanga samaki wauza vocha tujimwaye mwaye ndio uwanja wa kujidai huu....
 
Last edited by a moderator:
Linda kiboko ya Mange imefungiwa na Instagram...., mie siko kwa Linda Papa wala Mange .... wote wanajitia umajinuni na kuishia familia na watoto wao kudhalilishwa......

Hahahaaaa! Mtafute Mbutananga fashion au nasratito dakika 0, utakuta akaunti mpya ya linda. Kumpata Lindapapa ni dakiko 0 tu, angalia followers wa Mbutananga au account zake.
 
Hahahaaaa! Mtafute Mbutananga fashion au nasratito dakika 0, utakuta akaunti mpya ya linda. Kumpata Lindapapa ni dakiko 0 tu, angalia followers wa Mbutananga au account zake.
Nitamtafuta... ila bora kafungiwa hii...
 
Wacha kujipotosha na kumpotosha mtu, waarabu wa pemba tunajuwana kwa vilemba. Ukifuata mkumbo hapa JF utapotea simama kwa miguu yako na siyo kujificha nyuma ya mtu.

Hahahahaaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom