Heheheheh...Ukiwa wewe ni mtoto wa kiislam na unajua dini, je huna kinyongo mumeo kuja kuolewa mke wa pili? Au wewe uolewe mke wa pili?
Asante [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Heheheheh...
Hakuna mwanamke anapendelea mumewe aoe mke mwngine...na mume akiamua kuoa huwezi mzuia..
Kuongeza mke ni ruhusa Mungu alishawapa,nitake nisitake,nipende nisipendw ishakua hvo...
Mm kuolewa mke wa pili labda kwa situation kati ya hzi mbili
Moja,labda umri uende niwe sijaolewa
Pili,kwa sa hvi labda awe lipapaa (awe na HELA)...,otherwise ntazifuta hzo hela na kijana mwenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
oyooo yani sijasoma kote nimenusa hela .. hongera banaHeheheheh...
Hakuna mwanamke anapendelea mumewe aoe mke mwngine...na mume akiamua kuoa huwezi mzuia..
Kuongeza mke ni ruhusa Mungu alishawapa,nitake nisitake,nipende nisipendw ishakua hvo...
Mm kuolewa mke wa pili labda kwa situation kati ya hzi mbili
Moja,labda umri uende niwe sijaolewa
Pili,kwa sa hvi labda awe lipapaa (awe na HELA)...,otherwise ntazifuta hzo hela na kijana mwenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawasawa.....[emoji39] [emoji39]
Naishi tu kama binadamu wengine...Asante [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ukiwa kama msichana uliekamilika na una hisia, kama ulivyosema ushawahi kudate, je kwakipindi hiki huna uhusiano unakidhi vipi hisia zako?
Including you eehh.....[emoji2] [emoji2]Hapa wengi watapataka
Unaolewajwe mke wa pili na mwanaume asie na hela jamnnn?!oyooo yani sijasoma kote nimenusa hela .. hongera bana
Kwamba yuko ktk relationship na mwanaume (care & sex)Naishi tu kama binadamu wengine...
Hvi nyinyi mtu akiwaambia yupo kwny mahusiano mnaelewaje labda?
Sent using Jamii Forums mobile app
eti wanasema mapenzi mfyuuuu
Ooohhhhh....Kwamba yuko ktk relationship na mwanaume (care & sex)
Naomba uniwie radhi once again, naomba unipe ushirikiano tena ktk maswari tata. ... una chura?
Hahaha..Naomba uniwie radhi once again, naomba unipe ushirikiano tena ktk maswari tata. ... una chura?
Hapana byongo usinielewe vibaya ndiyo maana nimekuomba radhi kablaHahaha..
Unadhani kua kwangu na chura au kutokua nayo kuna msaada gani kwangu?!..
Ndo nyie wanaume unserious!
Sent using Jamii Forums mobile app
Try to be flexible please......Hahaha..
Unadhani kua kwangu na chura au kutokua nayo kuna msaada gani kwangu?!..
Ndo nyie wanaume unserious!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]If you could travel anywhere where would you so and why
DJ sepetu