Mrembo Julitha Kabete

Huyu yuko kwenye mchakato mwingine kabisa wa Miss Africa, alishiriki Miss Tanzania lakini nilisikia alianguka jukwaani na kushindwa kuendelea na mchakato, kumbe nyota yake ilikuwa inawaka upande mwingine.
Kwa hiyo miss world atatuwakilisha yupi kati ya hawa wawili?
 
Tetea ujinga tu.

Wewe inaonesha haa dada'ko akijiweka wazi na kujiuza utamsifia tu. Mpo wengi mlioathirika na umagharibi msiokuwa nao.

Sikiliza hii:

Kwani wewe kwa mme wako si ulijiuza kwa kuletewa mahari baba yako/mama/ukoo! Ni kujiuza kulikohalalishwa na jamii! Uliuzwa kwa mahari kwa vile una KK.UU.MM.AA., like wise, hawa wanafanya kwa vile wana KKK.UUU.MMM.AAA. Kiunganishi ni hicho ila mnafanya kwa njia tofauti
 
Hivi bila matusi huwezi kuishi?????.....

Unaweza kumtukana mtu mwenye uwezo wa kukuzalia mama yako bila kujua...

Kuwa na heshima kwa watu usiowajua kijana
 
 
s
 
duh.! huyu mtoto mrembo aisee. huyu ndio alistahili kwenda miss world, yule mmasai ni mzuri ila hakustahili kwenda miss world.
hebu tuongezeeni picha za huyu Julietha jamani sie tufaidi japo kwa macho tuu, si dhambi kufurahia kazi nzuri za muumba.

Ongezeenipo tupicha jamani nii enjoy mie.
 
Sie wabongo kwa kushiriki ni mahodari sana,hakuna shindano tulilowahi kulikosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…