tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,061
Hivi tunda anasomaga kweli? maana naona umri wake ni wa kua shule kama sec hviTunda ni mzuri sana, angepata muongozo wa maisha angeweza kutumia uzuri wake kujiingizia kipato na kuelimisha jamii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi tunda anasomaga kweli? maana naona umri wake ni wa kua shule kama sec hviTunda ni mzuri sana, angepata muongozo wa maisha angeweza kutumia uzuri wake kujiingizia kipato na kuelimisha jamii.
Wee ya kwako kaa ngiri.Meno yamepandana yatamkatia points.
Kweli mtoto Mtamu!Mabinti wa Tanzania mashallah, tulipendelewa katika uumbaji.
Eeeh mzee tukileta posa usije ukatutoa mkukuShe's a real natural beauty, however my daughter is way prettier than her.
Ulinisikia nimeenda kujiuza kwenye u "miss"?
Huu ni utumwa mamboleo tunaoushabikia.
Niite mzee mapistoEeeh mzee tukileta posa usije ukatutoa mkuku
Eti eee....kumbe hilo ni tatizoMeno yamepandana yatamkatia points.
Mzee mapisto mimi ni kijana ma Bullet proofNiite mzee mapisto
Mkuu hii 'ovyo' lazima imeanzia mahali...unaweza kuta na sisi wote ni 'ovyo'!Mtu pekee ambaye anaipeperusha Tz na kututoa kimasomaso ni Diamond tu..........
Football ovyo
Miss ovyo
Kabadi ovyo
Boxing ovyo
Riadha ovyo
Basketball ovyo
Music= Diamond ndo ametuwakirisha hao wengne wanamaliza bajeti ya wizara tu...........
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
Mzee mapisto mimi ni kijana ma Bullet proof
Ma man dont be so certainI can still pistol whip ur as.s.
Tunda ni mzuri sana, angepata muongozo wa maisha angeweza kutumia uzuri wake kujiingizia kipato na kuelimisha jamii.
Mkuu hii 'ovyo' lazima imeanzia mahali...unaweza kuta na sisi wote ni 'ovyo'!
Meno yamepandana yatamkatia points.
Ulinisikia nimeenda kujiuza kwenye u "miss"?
Huu ni utumwa mamboleo tunaoushabikia.