Miss u too cuzoo [emoji8] ni ninii mbaya leo ulifichwa wapi na shemelaCuzoo miss you[emoji8]
niteme mkuu sitaki maneno za shombo I was just giving you anadivice OK ,afu unachafua uzi wa watuKwanini umekatika utii wa mgongo?? Tuje hapa
Anipende kwa tabia zangu tuUnataka Na ungependa mwanaume akupende kwa kipi zaidi tabia au umbo Na sura!?
Kipi ni your uniqueness ktk feminism yako!?
DJ sepetu
Aiseeee alinificha chumbani[emoji85] [emoji85] [emoji85]Miss u too cuzoo [emoji8] ni ninii mbaya leo ulifichwa wapi na shemela
Unaamini ww ni mshamba??tuendeleeniteme mkuu sitaki maneno za shombo I was just giving you anadivice OK ,afu unachafua uzi wa watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safiiii cuzoo [emoji12][emoji12] kwahiyo ndio umeachiwaAiseeee alinificha chumbani[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Tabia zangu siwez kuzitaja hapa nimewahi kumsaliti kiukweli ...anisamehe sana ila nimetubu ha ha ha......kosa ambalo siwezi kumsamehe mume ni la kumfumania na mwanamke mwingineKwani wewe una tabia zipi za kumvutia mchumba!?
Ulishawahi msaliti mpenzi wako
Ni kosa gani huwez msamehe mumeo?
DJ sepetu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Yani ndo kanipa upenyo. Si unajua tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safiiii cuzoo [emoji12][emoji12] kwahiyo ndio umeachiwa
Wewe umemsaliti ila huwezi msamehe ukimfumania! Double standard!Tabia zangu siwez kuzitaja hapa nimewahi kumsaliti kiukweli ...anisamehe sana ila nimetubu ha ha ha......kosa ambalo siwezi kumsamehe mume ni la kumfumania na mwanamke mwingine
Hapo kama nakuona akija unazima data [emoji1][emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Yani ndo kanipa upenyo. Si unajua tena
Nlipitwa basi. Achana nao dada.Kisa jana ulikua haupo tulikua na linamo na sakayo acha tu
Ulipitwa dada akee ilikua balaaNlipitwa basi. Achana nao dada.
Mie mzima kabisa namshukuru m'mungu. Sijui wewe dada?Mzima dada akee
Hahaaaaaaa si data cuzooo nazima simu kabisa[emoji28] [emoji28] [emoji28]Hapo kama nakuona akija unazima data [emoji1]
Ahsante weee. Nimechelewa swahiba japo sio sana. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu swahiba
AiseeeTabia zangu siwez kuzitaja hapa nimewahi kumsaliti kiukweli ...anisamehe sana ila nimetubu ha ha ha......kosa ambalo siwezi kumsamehe mume ni la kumfumania na mwanamke mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nalifahamu hiloHahaaaaaaa si data cuzooo nazima simu kabisa[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Msamehe tu jaman ukimkuta na mwanamke kama we ulimsaliti bila yeye kujuaTabia zangu siwez kuzitaja hapa nimewahi kumsaliti kiukweli ...anisamehe sana ila nimetubu ha ha ha......kosa ambalo siwezi kumsamehe mume ni la kumfumania na mwanamke mwingine