Mrembo luckyline! live interview on DJ sepetu show!!

He is so mwaaa wakati long distance relationship inakutafuna!!![emoji32][emoji32][emoji32]
 
Ni nipo hapa angalia usinisifie sana warembo wengine wakajileta ukabaki na maumivu.


Swali: nini ipi changamoto unayopata kutoka kwa mpenzi wako huyo.?
Kwahiyo mpo wawili mkuu au swali lako ni changangamoto ipi unaipata kutoka kwangu (yaani wewe)
 
Punguza wivu[emoji23] [emoji23]
Umesema wewe muhenga!
Kwanini umejivuta sana kuolewa?
Unaogopa!
Je ni kweli kuwa mapenzi hupungua sana baada ya ndoa?kwanini

wivu ni lazimaaaa

wala sijachelewa kama unavyodhani. nilikuwa nasubiri kitu roho inapenda.
 
wivu ni lazimaaaa

wala sijachelewa kama unavyodhani. nilikuwa nasubiri kitu roho inapenda.
Malezi Na makuzi yepi toka utoton
Ambayo ungependa kuwaridhisha wanao!
Na yepi ambayo uliyaona yana walakini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…