Mrembo maserati interview! Live

Una bei gani ? Nikupe page yake ya fb. Weka mpunga wa maana mezani
 
Steven tucker
Heshima Mkuu, Saint Ivuga .

FYI anaye-present HARDtalk ( A current affairs interview programme on BBC World News) ni Stephen Sackur na sivyo kama ulivyomuandika. Huyu Steven tucker ni mwingine kabisa, www.tuckermedical.com/about-dr-steven-tucker/.

Back to the topic, hatuna skills japo a, b, c's za uulizaji wa maswali. Kuna baadhi ya maswali ukiulizwa ni faida kwa umma tulio wengi haswa ikiwa muuliza maswali na mjibu maswali wataongozwa na mantiki. Huku ndiko kufikiri kwa misingi ya dhana.

I think, kwa hapo nyuma STUNTER aliwahi kum-interview Nyani Ngabu . Kupitia maswali na majibu ya NN nilijifunza mengi. Tujifunze kutokana na wenzetu, hii ndiyo nidhamu ya kiakili. Na nidhamu kwa lugha rahisi yamaanisha kujifunza.

Pia FaizaFoxy ana darasa lake, Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa, huku pia tulizidi kudhihirisha unazi wetu kwa kuuliza maswali ya hovyo (Kumradhi). Then back the stage tukielezwa ukweli tunang'aka. Kutambua ujinga wetu ni hatua muhimu ya awali ya kujifunza.

Nakubali kupishana kimawazo na ndiyo maisha. Mwenzio akikuzidi shukuru na ujifunze kwake. Ukiona mwenzio uelewa wake uko chini au misimamo yake inachanganya basi mvumilie na jaribu ku-balance kwa kujadili naye kwa hekima.

Kama sisi binadamu ni viumbe wenye akili, matendo yetu lazima yalingane na maumbile yetu. Hivyo vitendo vyetu vinakuwa vitendo vya kiakili, na kwa msingi huo hutupasa kutenda kitu chochote kulingana na maumbile yetu. Hivyo kusema kuwa binadamu ni kiumbe mwenye akili ni karibu na kusema kuwa binadamu yampasa kutenda matendo ya kiakili.

Kumradhi kwa niliowataja kwa upuuzi huu, pia heshima tele kwa Maserati .

Asalaam.
 
Mkuu asante sana kw kunirekebisha majinaya hwa jamaa.
I appreciate
 
Uh
Wewe umejuaje ni binti mdogo mstaarab?
 
Ananikomalia niseme chuo gani na coz gani,nimemtajia coz nkamwambia siwezi kutaja chuo mitaji expose kwa ndugu zangu waliomo humu,Ndio kafikia huko. Muache alalamike,since haniongezei Wala kunipunguzia kitu
Ukute amekufananisha Na mchepuko wake!![emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ujue kutofautisha interview!!
Kwa vile mm siendeshi hard talk unazosema haina maana sijui ila nimeamua kuchagua soft and lovely interview ndiyo maana kuna riwaya pendwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…