Mrembo maserati interview! Live

Mrembo maserati interview! Live

mambo ya chuo nmeyapotezea na nmeomba page ya fb/insta tuone vp tukusupport kwny biznezz yako ila unakaza.ila yameisha kila la her nmejfunza kitu kuptia wew endelea kuwa na moyo huouo

Sent from my Android phone

Siwezi kukutajia page yangu,kama ningekuwa nataka si ningeandika jina langu la kweli instead of hili fake one. We mbona hujaandika jina lako na hujaweka Picha zako.
Mfano xav bero simjui hanijui lakini kanifata pm nimemuambia. Sio lazima ununue au ujue biashara yangu. We vipi mzee bab?????? Or else you want something else....

Better mind you own business and leave with mine.
Dume zima unalalamika lalamika,unalia lia hovyo,tusipimane uvumilivu buana weeeee
 
La chuo amekataa nmemuulza page yke ya fb/insta nione kama naweza kumsapoti kwny biashar nalo amekaza...muach ana wat wake special wa kuwajib wengin sis na makapuku mzee kwa mfano hapo juu kuna mteja anajuana nae na inaelekea biznezz wanafany ila mm kuomba page ya fb/insta imekuwa ktuko..ndo maisha hya mkuu WABAGUZI na WAPENDELEAJI wapo

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Ninachoweza kukushauri tu,usijifanye unanijua sana au ukataka sana kunijua,since we are behind the truth about who we really are . That's all and take chill pills
 
Siwezi kukutajia page yangu,kama ningekuwa nataka si ningeandika jina langu la kweli instead of hili fake one. We mbona hujaandika jina lako na hujaweka Picha zako.
Mfano xav bero simjui hanijui lakini kanifata pm nimemuambia. Sio lazima ununue au ujue biashara yangu. We vipi mzee bab?????? Or else you want something else....

Better mind you own business and leave with mine.
Dume zima unalalamika lalamika,unalia lia hovyo,tusipimane uvumilivu buana weeeee
duuu...
 
Fanyeni kazi acheni interview za kisen****e zisizokuwa na tija! Hivi hamjawahi kujiuliza mtajakuwa mababu na mabibi wa namna gani hapo baadae? Kila siku mnawaza utumbo tu afu mnalia lia hali ngumu! Acheni uku*****a!
 
Back
Top Bottom