Mke bora ni yupiHayo n maumbile yao,since wanapata wenza ambao wanaridhika basi hakuna cha kuwashauri
Mke bora ni yupiHayo n maumbile yao,since wanapata wenza ambao wanaridhika basi hakuna cha kuwashauri
Single mothers wanakosea wapiDuh!!!! Muda wowote nikipata nafasi. Hata asubuhi
Alafu weweeee.....[emoji117]
Muosha rungu akimaliza, nitag na mimi nikuulize kaswali kadoogo hivi!Duh!!!! Muda wowote nikipata nafasi. Hata asubuhi
Maisha gani magumu ulishapitia awaliMengine isipokuwa wanyamwezi na wazaramo
Hakika, maswali ya kipuuzi utadhani ana m interview mtoto.Muosha rungu.
Uliza maswali constructive.
Hata kama ni chit chat but yakiwa constructive kuna watu wana gain kitu.
Sasa maswali mengi yako yapo kwenye ngono.
Unataka umpigie puli kipenzi changu?
Watch out.
Maserati Is very potential, shes bright and educated enough.
Uliza maswali magumu.
Gotcha?...
Im out.
Nilianza kufuatilia hii interview mwanzoni... nikapotea baada ya kuona aina ya maswali anayoulizwa.Muosha rungu.
Uliza maswali constructive.
Hata kama ni chit chat but yakiwa constructive kuna watu wana gain kitu.
Sasa maswali mengi yako yapo kwenye ngono.
Unataka umpigie puli kipenzi changu?
Watch out.
Maserati Is very potential, shes bright and educated enough.
Uliza maswali magumu.
Gotcha?...
Im out.
Unapenda kuzaa watoto wangapiUnataka nipimwe mkojo???
Mtawala sio kiongozi
Kwa kweli.Nilianza kufuatilia hii interview mwanzoni... nikapotea baada ya kuona aina ya maswali anayoulizwa.
Nimerudi ili nione kama mwelekeo umebadilika lakini naona mwendo ni uleule...
Nampongeza Maserati kwa kuwa na moyo wa uvumilivu kujibu maswali kama haya... tena so openly.
Maserati si mtu wa kumuuliza viswali vya kitoto namna hii...
She is better than that...
Kwaherini wajukuu zangu
Muliza maswali cjui anatoka mkoa gani anawaza ngono tuKwa kweli.
Maserati ni mvumilivu sana.
Mimi nisingejibu .
Yaani maswali siyo hadhi yake kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bwana Tido Mhando wa JF
Ningekuwa sikuogopi ningekutuma bakora tumcharaze huyu mtotoSasa huu kama siyo ujinga ni nini.
Kukurupuka na kuhoji maswali penyewe hajui..
Mtu na Hadhi zake unamuuliza swali la kipumbavu kama hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani akitoka kwenye ngono anakuja kwenye maswali ya kijinga, Mara sijui nani na nani wa jf unamkubali nani.Muliza maswali cjui anatoka mkoa gani anawaza ngono tu
young kilimanjaro
Hatarious in Maserati voiceYaani akitoka kwenye ngono anakuja kwenye maswali ya kijinga, Mara sijui nani na nani wa jf unamkubali nani.
Sasa ili iweje,? Akijibiwa anarudi kwenye maswali ya ngono.
Anadhani watu tunasoma hapa sisi ni wajinga sijui.
Kama hawezi aachie watu wanaoweza.
Watu na fan zao akina kiwatengu
Sent using Jamii Forums mobile app