Mrembo mwenye shape zuri sana Tanzania afanyiwa πŸ™€ ya dunia!

Wabongo kwa uongo na kiki kama tunataka kuongoza sasa.
Hizo gari nyingi sana zipo kwa sasa huku dar na ata mikoani zipo huko south zimeshakuwa outdated kwa wingi wa kilometer zilizotembea mtu kajichukulia huko kwa bei poa ndio wake wahangaike na ushuru au wazitumie kila baada y miezi mitatu itoke ndani ya nchi yetu halafu irejee tena mpaka upate pesa ya kulipia kodi na usajili.
 

 
Kajamaa kananasumbuliwa na short people's syndrome
 
Mkuu harmonize nyumba yake huko mbezi beach inakaribia kukamilika na itazinduliwa huu mwaka imemgharimu 2.2 billions za kitanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shido shido shido wanobaleeeeeeee
 
Zandaaaaaaani kabisa


kitu kinachomuumiza kichwa konde ni kuachwa na kajala.konde anataka kulipiza kisasi kwa kajala warudiane halafu amteme
 
Tz tunatumia kibao cha njano kwa private car ownership
 
Ushamba mzigo. Ukute mamaake hana hata pagara.
 
Hivi angemuona kajala wa enzi hizo miaka 20 iliyopita.

Si angeishia kujikojolea kwenye boxa?

Leo kajala kajichokea ndy wa kuhangaika nae kiasi hicho?


Anaaibisha wamakonde na watu wote wafupi duniani.
Huyu tulikuwa tunamuangalia wkt ule club asset na kundi lake wakisasambua
Ila huyu mshamba anamuona mpya Hahaha

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…