KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Atakua anajua kufinyia kwa ndani labda.Huo mzigo utakuwa special sana maana hata makonda aliulilia sana bila mafanikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua anajua kufinyia kwa ndani labda.Huo mzigo utakuwa special sana maana hata makonda aliulilia sana bila mafanikio
[emoji23][emoji23][emoji23]Kaharmonize kana vituko sijui sababu kafupi
Wabongo kwa uongo na kiki kama tunataka kuongoza sasa.Harmonize ameamua kumnunulia mwanamke mwenye shape lake zuri kwa Tanzania bara na visiwani gari aina ya Land Rover Range Rover 2021 lenye thamani ya zaidi ya milioni 400 hapo bado ushuru! View attachment 2187908kuna wadada humu hata spacio ya mwaka 90 hawajazawadiwamy take ni igeni mfano kwa kajala!View attachment 2187906
Harmonize ameamua kumnunulia mwanamke mwenye shape lake zuri kwa Tanzania bara na visiwani gari aina ya Land Rover Range Rover 2021 lenye thamani ya zaidi ya milioni 400 hapo bado ushuru! View attachment 2187908kuna wadada humu hata spacio ya mwaka 90 hawajazawadiwamy take ni igeni mfano kwa kajala!View attachment 2187906kwa tuliosoma jitegemee sec tunamjua bi dada alikua cheusi mangala
mkuu Eng usiri ndo yule wa trevo?Hana hyo Hela. Kesi yenyewe ya nyumba ya Eng. Usiri mpaka Leo Hajalipa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shido shido shido wanobaleeeeeeeeMkuu harmonize nyumba yake huko mbezi beach inakaribia kukamilika na itazinduliwa huu mwaka imemgharimu 2.2 billions za kitanzania
Ndio Mkuu na Juma3 madalali wanaanza kuukamata Mali zakemkuu Eng usiri ndo yule wa trevo?
Tz tunatumia kibao cha njano kwa private car ownershipHarmonize ameamua kumnunulia mwanamke mwenye shape lake zuri kwa Tanzania bara na visiwani gari aina ya Land Rover Range Rover 2021 lenye thamani ya zaidi ya milioni 400 hapo bado ushuru! View attachment 2187908kuna wadada humu hata spacio ya mwaka 90 hawajazawadiwamy take ni igeni mfano kwa kajala!View attachment 2187906
kwanini madalali wahusike kukamata mali zake au anadaiwa na bank huyo Eng usiri?Ndio Mkuu na Juma3 madalali wanaanza kuukamata Mali zake
Huyu tulikuwa tunamuangalia wkt ule club asset na kundi lake wakisasambuaHivi angemuona kajala wa enzi hizo miaka 20 iliyopita.
Si angeishia kujikojolea kwenye boxa?
Leo kajala kajichokea ndy wa kuhangaika nae kiasi hicho?
Anaaibisha wamakonde na watu wote wafupi duniani.